Ndivyo friji zilivyo au?

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Wadau naomba kujua kuna frij hapa linanichanganya hili frij lina pande mbili juu na chini, juu ni nafasi ndogo na ina sehem ya FREEZER TEMPERATURE CONTROL ambayo ni minimun had max huku ndiko maji yanakopoa had kuganda yakikaa muda mref ila huku chini ambako ndio nafasi kubwa Kuna taa na pia kuna sehemu ya REFRIGIRATOR TEMP. CONTROL nayo pia ina minimum had max. Lakn kwa vyovyote ntavyoset huku chin nikiweka maji sioni mabadiliko yoyote ktk maj naomba kujua kazi ya part hii ya friji!
 
Kweli huu ndo mtandao wa jamii!!

Juu Freezer chini Fridge. Freezer ina freeze.

Juu weka vitu vinavyohitaji freezing barafu, vyakula kwa kuhifadhi kwa muda mrefu, ice cream lol.

Chini weka vitu ambavyo havihitaji freezing ila vinahitaji refrigeration kama Soda,maji baridi, matunda, vyakula, mayai, mkate etc.
 
Sasa huku chini kwa vitu visivyohitaji freezing yaan sehem ya refrigirator mbona sioni action yoyote au kumeisha gas?
 
Wewe ulitaka vipoe kwa kiasi gani? Angali vizuri setting zako, gas ingeisha hata juu isingefanya kazi, au jaribu kusoma maelekezo vizuri, pia kwa kipindi hiki cha umeme usioeleweka pia yaweza kuwa sababu, kwenye frzr kunakua nabaridi inayoweza kushinda kwa masaa ndo maana waona tofauti. Kuuliza c ushamba mwaya hatakama umeanza kumiliki leo, pengine ndo umeanza maisha, hata anaekucheka alianza sikumoja.
 
Back
Top Bottom