Mtayarishaji
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 291
- 199
Ndani ya ndege kulikuwa na watu watano Lakini maparashuti yalikuwa manne tu. Watu hao ni mchungaji, waziri, mwanajeshi, mpare na mwanafunzi wa chekechea.
Mchungaji akasema yeye anategemewa na kanisa hivyo hapaswi kufa Akachukua parachute akaruka.
Waziri akasema wananchi wanamtegemea alete maendeleo Akachukua parachute akaruka.
Mpare akasema familia inamtegamea akachukua parachute akaruka faster.
Wakabaki mwanajeshi na mwanafunzi wa chekechea.
Yule mjeshi akamtazama mwanafunzi akamuonea huruma kisha akasema; Mimi ninajitolea kufa kwa ajili yako, wewe chukua hilo parachute lililobaki ujiokoe kisha mimi nitakufa na hii ndege.
Yule mwanafunzi akajibu "usijali yamebaki maparashuti miwili".
Yule mjeshi akashangaa!! akauliza mawili kivipi!?
Mwanafunzi akasema; YULE MPARE KACHUKUA BEGI LANGU LA SHULE ALIDHANI NI PARASHUTI.
Mchungaji akasema yeye anategemewa na kanisa hivyo hapaswi kufa Akachukua parachute akaruka.
Waziri akasema wananchi wanamtegemea alete maendeleo Akachukua parachute akaruka.
Mpare akasema familia inamtegamea akachukua parachute akaruka faster.
Wakabaki mwanajeshi na mwanafunzi wa chekechea.
Yule mjeshi akamtazama mwanafunzi akamuonea huruma kisha akasema; Mimi ninajitolea kufa kwa ajili yako, wewe chukua hilo parachute lililobaki ujiokoe kisha mimi nitakufa na hii ndege.
Yule mwanafunzi akajibu "usijali yamebaki maparashuti miwili".
Yule mjeshi akashangaa!! akauliza mawili kivipi!?
Mwanafunzi akasema; YULE MPARE KACHUKUA BEGI LANGU LA SHULE ALIDHANI NI PARASHUTI.