Ndio urafiki huu kweli??

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
Huyu mshkaji vipi?
Eti anampigia demu wangu simu,fuatilia mazungumzo kwa ufupi:-

Jamaa:shem samahani na maongezi nawe?
baby: poa mda gani shem?

jamaa:nambie mda gani utakuwa free wewe?
baby: mie leo nipo napumzika ko sina kazi yoyote

jamaa:poa tukutane saa tisa
baby:poa, wapi?

jamaa: ****** GUEST HOUSE
baby:.......
hakwenda na alikata nae mawasiliano,...

Jamani ndo urafiki huu,huyu jamaa nikionana nae nifanyeje ati?
 
Huyu mshkaji vipi?
Eti anampigia demu wangu simu,fuatilia mazungumzo kwa ufupi:-

Jamaa:shem samahani na maongezi nawe?
baby: poa mda gani shem?

jamaa:nambie mda gani utakuwa free wewe?
baby: mie leo nipo napumzika ko sina kazi yoyote

jamaa:poa tukutane saa tisa
baby:poa, wapi?

jamaa: ****** GUEST HOUSE
baby:.......
hakwenda na alikata nae mawasiliano,...

Jamani ndo urafiki huu,huyu jamaa nikionana nae nifanyeje ati?


Ngoja kwanza hii story haijaisha, wewe ulikuwepo wakati wanaongea na cm, isije jamaa kamega halafu kautosa mzigo ndio bibie anakusimulia,
 
Zamani sana nilimwambia mshikaji wangu demu wangu ana kitumbua kikubwa sana likawa kosa...sasa hivi ni mkewe na hataki hata nimwite shemeji
 
huyu mshkaji vipi?
Eti anampigia demu wangu simu,fuatilia mazungumzo kwa ufupi:-

jamaa:shem samahani na maongezi nawe?
Baby: Poa mda gani shem?

Jamaa:nambie mda gani utakuwa free wewe?
Baby: Mie leo nipo napumzika ko sina kazi yoyote

jamaa:poa tukutane saa tisa
baby:poa, wapi?

Jamaa: ****** guest house
baby:.......
Hakwenda na alikata nae mawasiliano,...

Jamani ndo urafiki huu,huyu jamaa nikionana nae nifanyeje ati?

nia yake yaweza kuwa si mbaya sana labda anajua udhaifu wako anataka kukuimalishia ndoa
 
Huyu mshkaji vipi?
Eti anampigia demu wangu simu,fuatilia mazungumzo kwa ufupi:-

Jamaa:shem samahani na maongezi nawe?
baby: poa mda gani shem?

jamaa:nambie mda gani utakuwa free wewe?
baby: mie leo nipo napumzika ko sina kazi yoyote

jamaa:poa tukutane saa tisa
baby:poa, wapi?

jamaa: ****** GUEST HOUSE
baby:.......
hakwenda na alikata nae mawasiliano,...

Jamani ndo urafiki huu,huyu jamaa nikionana nae nifanyeje ati?

Hivi ulikuwepo akipigiwa simu au umesimuliwa na demu wako
 
Zamani sana nilimwambia mshikaji wangu demu wangu ana kitumbua kikubwa sana likawa kosa...sasa hivi ni mkewe na hataki hata nimwite shemeji

Hehehehehehe
Duh, hii kali kweli
Mkishamega jamani usiwatangazie rafikizo ooh anakatika kweli, oooh anakula koni ile mbaya, oooh
Jamani mengine tunajitafutia wenyewe
 
Hehehehehehe
Duh, hii kali kweli
Mkishamega jamani usiwatangazie rafikizo ooh anakatika kweli, oooh anakula koni ile mbaya, oooh
Jamani mengine tunajitafutia wenyewe

Haswa...mimi ningeshauri hata shemeji umtoe kwenye avatar yako...watu wengine hata busu wanamaindi
 
Hivi kuna mtu anaweza kwenda kutongozea gesti kabisa eh......huyu ISC hatumhitaji...
 
Huyu mshkaji vipi?
Eti anampigia demu wangu simu,fuatilia mazungumzo kwa ufupi:-

Jamaa:shem samahani na maongezi nawe?
baby: poa mda gani shem?

jamaa:nambie mda gani utakuwa free wewe?
baby: mie leo nipo napumzika ko sina kazi yoyote

jamaa:poa tukutane saa tisa
baby:poa, wapi?

jamaa: ****** GUEST HOUSE
baby:.......
hakwenda na alikata nae mawasiliano,...

Jamani ndo urafiki huu,huyu jamaa nikionana nae nifanyeje ati?

3- INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI

 
Zamani sana nilimwambia mshikaji wangu demu wangu ana kitumbua kikubwa sana likawa kosa...sasa hivi ni mkewe na hataki hata nimwite shemeji

Sijui kama kitumbua kikubwa kina mvuto ....ninafikiri kuna mengi yaliyomvuta jamaa yako kule..............
 
Hapo kweli hakuna urafiki, na kama walivyosema waliotangulia kosa tunalofanya ni kuwasimulia marafiki zetu mambo yetu ya siri
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom