babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,102
- 15,993
namuunga mkono WC bana kuoa sio mwisho wa kupenda jamani tunakua bado tuna moyo na macho yako wazi kwanini usiipe roho kitu ile inataka?mie mwenyewe huwa najipoza sana tu pembeni kila nikipata chance.nini mbayaeep: