Ila Dillon Shane Jackson ndio ame mind kabisa yaan, Dillon akikuona mweusi unatoka na mwanae ana kuua nakwambiaDuuh aisee, huyo hannes amenitia hasira sana
sio ubaguzi kiukweli sisi waafrika tumelaaniwa tu
hilo liko wazi kabisa!sisi hatuwezi kustaarabika kabisa!black hata azaliwe ulaya haachi asili yake
mugabe apewe south aifilisi wananchi waanze kulala njaa!!Ha ha nadhani ni muda wa south africa kudai uhuru wao. Kama huyu jamaa ni kaburu lazima wamfukuze. I wish mugabe angepewa nchi kama south angalau kwa miezi mitatu. Ufala anao andika hapo usingekuwepo
okayBro, unaongea vitu usivyovijua.
Kama hatowekewa vikwazo na mabepari nchi haiwezi kufilisika?mugabe apewe south aifilisi wananchi waanze kulala njaa!!