Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 359
juzi nilienda polisi kutaka kufungua kesi ya kumdai mtu ambaye ananizungusha kunilpa bt cha kushangaza askari niliyemkuta counter akanijibu kuwa polisi hawaucki n kesi za madai wao wannahucka n kesi za jinai tu bt akaniomba 5000tsh ili amtishe huyo tapeli