Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Hi JF!.
Nimelichunguza mda mrefu...hatimae nimegundua hili: kwa kua njia ya upatikanaji ni rahisi ya watoto ndio maana wamejaa mitaani.
-unae mke nyumbani lakini unae mwingine mtaa mwingine achilia mbali unaefanya kazi nae.
-mkeo akiwa mja mzito haupo karibu nae ...kumbe unae anaekupunguzia uzito.
-ukiwa unamiliki usafir utaekua ukimpa lift kusogeza kazin huyo nae atakusaidia kupunguza uzito...siku ya siku atakupatia zawadi ya kabebii.
-......................
-......................
Endeleza na wewe:
Tuchangie mtaona ndio sababu ya hawa damu zetu tunazozikana huku zinataabika mitaani.
Nawasilisha!.
Nimelichunguza mda mrefu...hatimae nimegundua hili: kwa kua njia ya upatikanaji ni rahisi ya watoto ndio maana wamejaa mitaani.
-unae mke nyumbani lakini unae mwingine mtaa mwingine achilia mbali unaefanya kazi nae.
-mkeo akiwa mja mzito haupo karibu nae ...kumbe unae anaekupunguzia uzito.
-ukiwa unamiliki usafir utaekua ukimpa lift kusogeza kazin huyo nae atakusaidia kupunguza uzito...siku ya siku atakupatia zawadi ya kabebii.
-......................
-......................
Endeleza na wewe:
Tuchangie mtaona ndio sababu ya hawa damu zetu tunazozikana huku zinataabika mitaani.
Nawasilisha!.