dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,159
- 54,528
silaha kuu ya mwanamke ni nyuchi, hana chengine, hana cha kuoffa zaidi ya lile buyu tamtam la asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaanh mwamba hivi kumbe wewe ni mwanamke
Naunga mkono hoja, ila uandishi wa mtoa mada ni wa kiume kabisaaaaaa
KhaaaaaaaChunguza nyuzi zake utaelewa, ni kama afisa kipenyo kwa misheni maalumu!
Khaaaaaaa
Ngoja nikutag kwa uzi mwingine!
Kwa upande wangu kama mwanaume naamini wanaume waliokamilika wanaojielewa na wenye nia ya kufanya maisha ya ndoa huwa hatupendi chenga za kitoto na kuwekeana mitego isiyo na maana mwanzoni mwa mahusiano.Wanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno, tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu, siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu hujui historia yake vizuri, kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika.
Ndio maana wanaume hawaoi siku hizi maana kila kitu ambacho angepata kwenye ndoa anapata kwako, sasa ndoa ya Nini anaona hakuna jipya ndio maana kumekuwa na wimbi kubwa na masingle mother kisa tu kujirahisisha na kupenda mteremko wa maisha. Wanawake tupige kazi tuache kupenda mteremko ili hadhi yetu ipande maana imeshuka sana kwa kujirahisisha.
Siku hizi Kuna masupa women kibaoSiku hizi si nasikia ukiwa single maza na una kazi/biashara yako ya kukuingizia laki 5 hlf ukapata passo yako ya million 6 basi ndo umekuwa strong woman yaani ndo umekuwa super woman kamili.Kama hujaachika vigezo unakosa basi inabidi uanzishe kamgogoro ili uonekane ulikuwa unateswa na mumeo ili mkiachana mtoto umlee mwenyewe ionekane mmetelekezwa wote
Huko istagram ni vurugu tu bio imeandika my maza my everything mara inaandika blessed mom,gifted mom huko whatsup status ni picha ya mtoto,mama ake na bibi mtoto tu katuuu hukuti picha ya baba mtoto wala baba ake mzazi yaani Ni vita tu.Super woman hana hata mapenzi na baba ake mzazi birthday zinapostiwa za mama tu.Kwanza suoer woman gani unampenda baba ako
Kwahiyo siku hizi usingle maza ni wakutafuta kabisa ili vigezo vitimie vya kuwa super woman
Ila wanwake zetu mnakuwaga na vichaa sometimes yaani mtu anaolewa anajiandaa kabisa kuachana akiwa kwenye ndoa ili awe strong woman
Nyie wenzetu si mpo kwenye battle kwamba alifanya mwnaume na nyie mnawaza kwmaba hata nyie umalaya mnauweza km sisi.Sawa haina shida