Duuu wapi hii? bongo nuksi
eeh wakuu hii ni ward ya cholera!ukimuwekea mgonjwa godoro waweza kuzua balaa zaid,ndio maana kuna mabeseni kwa chn.[/Q
Parachichi
Unaweza kuhararisha hali hiyo kwa hicho unachosema?
Unaweza kuruhusu hata mtu uliyemuokota barabarani akapewe huduma ya hivyo?