Kristonsia Nkya
JF-Expert Member
- Jun 24, 2013
- 301
- 290
*Braza.....*
Ushawahi kukutana na mwanamke anakwambia anasomaga Chuo halafu anakutumia text inasomeka hivi....
"Za hasubui Lichadi,Humehamkaje, nirikuwa nakusalimiha tu hafya vipi?"
"Ndo mana kila siku tunaibiwa mchanga
Ushawahi kukutana na mwanamke anakwambia anasomaga Chuo halafu anakutumia text inasomeka hivi....
"Za hasubui Lichadi,Humehamkaje, nirikuwa nakusalimiha tu hafya vipi?"
"Ndo mana kila siku tunaibiwa mchanga