Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,304
Jose Mourinho: ′′ Nadhani mwanangu, Heung Min Son anapaswa kumtazama Harry Kane. Amka mwanangu Son na uombe uhamisho haraka ikiwa unataka kitu cha kuonyesha kwa familia yako kule Korea baada ya kazi yako.
Tottenham Hotspur ni timu nzuri ambayo inaweza kuwapa wachezaji jukwaa zuri la kuonekana na vilabu vikubwa, lakini sio klabu ya kushinda Kombe. fikra za mwenyekiti wao zinathibitisha hilo.
Mfano; Niliwafikisha fainali ya kombe la ligi, kwa haraka zikiwa zimebakia siku 14 tucheze fainali wakanifukuza ′′ yan kosa langu kwanini nikaribie kubeba kombe na siyo mpango wao"😂😂.
Hii ilikuwa kabla ya Son kusaini mkataba mpya watz ur take katika hili
José Madharau Mourinho 🙄
Tottenham Hotspur ni timu nzuri ambayo inaweza kuwapa wachezaji jukwaa zuri la kuonekana na vilabu vikubwa, lakini sio klabu ya kushinda Kombe. fikra za mwenyekiti wao zinathibitisha hilo.
Mfano; Niliwafikisha fainali ya kombe la ligi, kwa haraka zikiwa zimebakia siku 14 tucheze fainali wakanifukuza ′′ yan kosa langu kwanini nikaribie kubeba kombe na siyo mpango wao"😂😂.
Hii ilikuwa kabla ya Son kusaini mkataba mpya watz ur take katika hili
José Madharau Mourinho 🙄