Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,944
- 703
Wadau,
Angalieni hii picha na kusoma kwa makini hayo maneno yaliyoko kwenye jiwe hilo. Sina hakika ndiyo cheo kipya cha bwana Nape baada ya uchaguzi ndani ya SISIEMU?
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizindua shina la wakereketwa wa CCM la wajasiriamali watengeneza fenicha katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita, jana. Nape aliwapa pia ,msaada wa sh. milioni moja kwa ajili ya wajasiriamali hao kukuza shughuli zao
Angalieni hii picha na kusoma kwa makini hayo maneno yaliyoko kwenye jiwe hilo. Sina hakika ndiyo cheo kipya cha bwana Nape baada ya uchaguzi ndani ya SISIEMU?
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizindua shina la wakereketwa wa CCM la wajasiriamali watengeneza fenicha katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita, jana. Nape aliwapa pia ,msaada wa sh. milioni moja kwa ajili ya wajasiriamali hao kukuza shughuli zao