LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
WanaJF! Kifo cha huyo Gaidi haina na ile kifo (Kimvuli) ya yule Gavana (Mfu) yenye wasiwasi mpaka leo kwangu na kwa baadhi ya Ndg zangu wenye uchungu na nchi yao yenye kila sbb ya wa2 wao kutokuteseka lakini wanateswa na kikosa cha huyu Gavana anayesadikiwa ameweka makazi kwenye nchi ya mataifa makubwa. Je? Hii ya Bin Laden haifanani na ya Balali hapa KWETU? Twendeni pamoja.