WanaCCM tupo pamoja ktk mapambano ya UFISADI na Mapandikizi yao ya Vyama Vya Upinzani kama CDM nk.usihofu kelele za Dr.Slaa anayepiga mayowe unaponoa kisu cha kuangamiza mtandao wa Mafisadi ndani ya CCM na Serikali kwa ujumla....wanajaribu kukuchokoza ili wajue kama ni kweli ama unatishia tu? Jibu umewapa lakini hawajatosheka,waambie wasubiri kufa kwa Vyama Vyao hata kama watahamia huko,watanzania wanaimani kubwa na Uongozi Mpya !
CHADEMA inawanasheria mfu ambao hawajui hata kuandaa mashitaka au kupeleka ushahidi PCCB ili waone serikali inawajibika vipi katika mapambano ya ufisadi...Wamesahau"No research No right to Speak".
Kutaja watu bila facts si kosa la Serikali kutowachukulia hatua,kwanza ndiyo mnavuruga upelelezi wa kubaini ukweli wa mambo.
Lakini kwa vile ni mapandikizi ya kuivuruga serikali isifanye kazi zake,basi wananchi wamelitambua hilo na waamemua kwa dhati kukibadilisha chama cha KITAIFA(CCM) kifanye mapinduzi ya kweli.
Bravo JK,Mangula,Kinana,Shein na Sekretaliati nzima !
CHADEMA inawanasheria mfu ambao hawajui hata kuandaa mashitaka au kupeleka ushahidi PCCB ili waone serikali inawajibika vipi katika mapambano ya ufisadi...Wamesahau"No research No right to Speak".
Kutaja watu bila facts si kosa la Serikali kutowachukulia hatua,kwanza ndiyo mnavuruga upelelezi wa kubaini ukweli wa mambo.
Lakini kwa vile ni mapandikizi ya kuivuruga serikali isifanye kazi zake,basi wananchi wamelitambua hilo na waamemua kwa dhati kukibadilisha chama cha KITAIFA(CCM) kifanye mapinduzi ya kweli.
Bravo JK,Mangula,Kinana,Shein na Sekretaliati nzima !