Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,205
- 4,695
Naandika uzi huu kwa nia nzuri kabisa ya kuwasilisha ushauri kwa Ndg Bernard Membe aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mbunge wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi
Sote tunafahamu maneno ya dharau na kebehi yaliyotoka kinywani mwa Ndg Membe kabla na hata baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020
Kiuhalisia kebehi zake dhidi ya Serikali & Chama cha Mapinduzi ziliongozwa na hisia chafu zilizotokana na uroho wa madaraka pamoja na ubinafsi mkubwa uliotawala nafsi yake
Ndg Membe alipewa sifa nyingi ikiwamo kuitwa Jasusi Mbobezi na yeye kujaa kiburi kwa kujiona yupo juu zaidi ya Chama na Serikali yake
Ndg Membe almaarufu Jasusi Mbobezi alisahau malezi na makuzi mazuri alipewa na Serikali ya CCM na ndiyo kiini cha ndiyo mafanikio aliyonayo!
Hekima ya hali ya juu ilitumika kumruhusu bila bughuda wake kujiunga na Upinzani pamoja na kugombea Urais ili kuthibitisha ujabari wake!
Matokeo ya Uchaguzi huo yalimpa somo kubwa sana kuwa hakuwa na umaarufu au uwezo alioamini kuwanao hapo awali!
Nitumie fursa hii kumuomba Ndg Bernard Membe kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhesh Dkt John Pombe Magufulu, kuwaomba radhi Wana CCM wote na Watanzania kwa ujumla
Ndg Bernard Membe bado hujachelewa, jishushe, usione aibu na omba radhi urejeshe heshima yako.
Wasalaam!
Sote tunafahamu maneno ya dharau na kebehi yaliyotoka kinywani mwa Ndg Membe kabla na hata baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020
Kiuhalisia kebehi zake dhidi ya Serikali & Chama cha Mapinduzi ziliongozwa na hisia chafu zilizotokana na uroho wa madaraka pamoja na ubinafsi mkubwa uliotawala nafsi yake
Ndg Membe alipewa sifa nyingi ikiwamo kuitwa Jasusi Mbobezi na yeye kujaa kiburi kwa kujiona yupo juu zaidi ya Chama na Serikali yake
Ndg Membe almaarufu Jasusi Mbobezi alisahau malezi na makuzi mazuri alipewa na Serikali ya CCM na ndiyo kiini cha ndiyo mafanikio aliyonayo!
Hekima ya hali ya juu ilitumika kumruhusu bila bughuda wake kujiunga na Upinzani pamoja na kugombea Urais ili kuthibitisha ujabari wake!
Matokeo ya Uchaguzi huo yalimpa somo kubwa sana kuwa hakuwa na umaarufu au uwezo alioamini kuwanao hapo awali!
Nitumie fursa hii kumuomba Ndg Bernard Membe kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhesh Dkt John Pombe Magufulu, kuwaomba radhi Wana CCM wote na Watanzania kwa ujumla
Ndg Bernard Membe bado hujachelewa, jishushe, usione aibu na omba radhi urejeshe heshima yako.
Wasalaam!