EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Mbunge wa Moshi mjini Philimon Ndesamburo ametangaza kutoa usafiri wa bure wa kuelekea kwa Babu Loliondo ambae anasadikiwa kutibu magonjwa sugu. Ndesambulo amewataka wakazi wa Moshi mjini na vitongoji vyake wenye kusumbuliwa na maradhi sugu kujiandikisha ofisini kwake ili awapatie usafiri wa bure kwenda Loliondo kwa Babu.
Haki-Ngowi