samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Kutokana na ubovu wa barabara ya kuelekea loriondo kwa babu, mbunge wa moshi mjini ndesamburo ametoa helcopta yake kupeleka wagonjwa mahututi kupata tiba kwa babu. Source: tbc-habari.
Huyu mheshimiwa hajajua km serikali imepiga stop watu kwenda huko?watapigwa virungu km wata watoto wadogo.fosiKutokana na ubovu wa barabara ya kuelekea loriondo kwa babu, mbunge wa moshi mjini ndesamburo ametoa helcopta yake kupeleka wagonjwa mahututi kupata tiba kwa babu. Source: tbc-habari.