Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mwenyekiti wa Kamati bunge ya Uwekezaji Mitaji ya Umma (PIC) Mhe. Albert Ntabaliba ameeleza kuwa kwa miaka miwili mfululizo tangu serikali inunue ndege mbili aina ya Bombardier, zimeleta hasara ya Shilingi Bilioni 109.3 + Bilioni 113.8 = Bilioni 223.1.
Yaani, mwaka wa fedha 2015/2016 taifa limepata hasara ya Shilingi Bilioni 109.3 na mwaka wa fedha 2016/2017 (uliomalizika Septemba 2017) tumepata hasara ya shilingi bilioni 113.8.
Mwaka 2018 tukaambiwa imepatikana faida ya bil 28 lakini shirika hili halikukaguliwa wala taarifa ya fedha haikutolewa mpaka leo.
Mwaka huu 2019 tunaaambiwa lina faida ya bil 30 najiuliza haya na mauzo ghafi au faida?
Hili shirika wame breack even lini? Yaani manunuzi ya tril 1.8 hizi ndege zimeshazalisha kwa miaka mitatu hii ya hasara?
Yaani kwa miaka mitatu hayo madeni (hasara) isharudi? Manunuzi ya ndege. Yamesharudi hadi kupata faida ya bil 30? Na kwann hataki kukaguliwa?
Yaani, mwaka wa fedha 2015/2016 taifa limepata hasara ya Shilingi Bilioni 109.3 na mwaka wa fedha 2016/2017 (uliomalizika Septemba 2017) tumepata hasara ya shilingi bilioni 113.8.
Mwaka 2018 tukaambiwa imepatikana faida ya bil 28 lakini shirika hili halikukaguliwa wala taarifa ya fedha haikutolewa mpaka leo.
Mwaka huu 2019 tunaaambiwa lina faida ya bil 30 najiuliza haya na mauzo ghafi au faida?
Hili shirika wame breack even lini? Yaani manunuzi ya tril 1.8 hizi ndege zimeshazalisha kwa miaka mitatu hii ya hasara?
Yaani kwa miaka mitatu hayo madeni (hasara) isharudi? Manunuzi ya ndege. Yamesharudi hadi kupata faida ya bil 30? Na kwann hataki kukaguliwa?