Ndege zimeshanunuliwa basi tumshauri kuziendesha

singojr

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
5,308
6,884
Updates:
Leo nimefurahi sana baada ya ushauri wangu kufanyiwa kazi sana.
Jamani website ya Air Tanzania imebadilishwa mwonekano japo bado inaonekana haijakamilika sawa lakini inavutia.
Hili limenitia moyo na nimefurahi. Kumbe tunaweza kuwa na vitu vizuri.
Kama hili mmelifanya kwa uharaka hivi naamini tutafanikisha lengo.

Uzi wenyewe ulikuwa huu hapo chini:


Kikienda kwa mganga hakirudi, ndivyo fedha zetu zilivyopepea kwa mabeberu.

Tulijaribu kushauri kwa namna tulivyoweza kuwa Mh. Rais sisi tunaona fedha zingepelekwa maeneo memgine lakini akaona sivyo.

Sababu ndege sio za mtu ni za nchi basi tusaidie kushauri ili hata kama kuna kifaida kidogo basi kitusaidie kujenga taifa.
Mimi nimeamua kujikita moja kwa moja kwenye upande wa TEHAMA ya ATCL.

1. Ningependekeza mabadiliko makubwa sana katika tovuti yao:-
i. Sio responsive, hapa namaanisha ukiifungua kwenye simu au tablet inakaa vibaya sana kiasi cha kumvuruga mtu anayefanya booking.
ii. Kuna option ya kubadili lugha kuwa kiswahili. Lakini cha kushangaza ni sehemu tu ndo lugha inabadilika kwingine bado ni kingereza.
iii. Graphics hazivutii yaani ukiingia huvutiwi kutazama vitu zaidi picha hazina mipangilio mizuri ya rangi.
iv. Zile logo za social network mmezitoa wapi ni kama mmechora zenu. Hebu zibadilisheni.
v. Huwezi kufanya booking ya ndege siku tatu kabla wakati inaonyesha kuwa gharama itakuwa ndogo lakini ku book huwezi.


2. Jinsi ya kujibu wateja kwenye social networks naomba hapa mjaribu kuwa kama ttcl maana wao kwenye huu upande tulilalamika na sasa wamerekebisha. Mnajibu majibu yasiotosheleza hivyo inapelekea swali hilo hilo kurudiwa mara kwa mara.

Mengine wataongezea, tafadhali huu ni uzi wa kujenga changia kujenga na sio kubomoa maana kama hasara tumekula sawa sasa tuipunguze hakuna namna.[/QUOTE]


Kikienda kwa mganga hakirudi, ndivyo fedha zetu zilivyopepea kwa mabeberu.

Tulijaribu kushauri kwa namna tulivyoweza kuwa Mh. Rais sisi tunaona fedha zingepelekwa maeneo memgine lakini akaona sivyo.

Sababu ndege sio za mtu ni za nchi basi tusaidie kushauri ili hata kama kuna kifaida kidogo basi kitusaidie kujenga taifa.
Mimi nimeamua kujikita moja kwa moja kwenye upande wa TEHAMA ya ATCL.

1. Ningependekeza mabadiliko makubwa sana katika tovuti yao:-
i. Sio responsive, hapa namaanisha ukiifungua kwenye simu au tablet inakaa vibaya sana kiasi cha kumvuruga mtu anayefanya booking.
ii. Kuna option ya kubadili lugha kuwa kiswahili. Lakini cha kushangaza ni sehemu tu ndo lugha inabadilika kwingine bado ni kingereza.
iii. Graphics hazivutii yaani ukiingia huvutiwi kutazama vitu zaidi picha hazina mipangilio mizuri ya rangi.
iv. Zile logo za social network mmezitoa wapi ni kama mmechora zenu. Hebu zibadilisheni.
v. Huwezi kufanya booking ya ndege siku tatu kabla wakati inaonyesha kuwa gharama itakuwa ndogo lakini ku book huwezi.


2. Jinsi ya kujibu wateja kwenye social networks naomba hapa mjaribu kuwa kama ttcl maana wao kwenye huu upande tulilalamika na sasa wamerekebisha. Mnajibu majibu yasiotosheleza hivyo inapelekea swali hilo hilo kurudiwa mara kwa mara.

Mengine wataongezea, tafadhali huu ni uzi wa kujenga changia kujenga na sio kubomoa maana kama hasara tumekula sawa sasa tuipunguze hakuna namna.
 
Wafanye kazi,shida kila kitu wanatangaza.Ikienda matengenezo tangazo,ikipaa tangazo ,jamani fanyeni kazi endesheni hizo ndege kibiashara siku hizi show off kibao hata hatuelewi .Mbona makampuni mengine wanapiga kazi kmya kimya .Tuone matangazo ya biashara ,kwenye uboreshaji wa huduma
 
Hahaha nilidhani unashauri kwa kutoa model ya operation, website yanini tunasafirisha nyama. Ndege ni kwa ajili ya watalii na wawekezaji, hao wanajulikana sasa website ya nini nawewe unataka uzipande ndege za watalii?!
 
Hiyo kachumbari aliwahi onya ndugu yetu barafu humu ndani!
Ona Sasa billion 13 za matengenezo ya bombadier zimeanza kututoka na bado air bus na dreamliner
 
Hahaha nilidhani unashauri kwa kutoa model ya operation, website yanini tunasafirisha nyama. Ndege ni kwa ajili ya watalii na wawekezaji, hao wanajulikana sasa website ya nini nawewe unataka uzipande ndege za watalii?!

Huyo mtalii anayetoka Dodoma Mwanza ni mtalii au mzururaji?
 
Huyo mtalii anayetoka Dodoma Mwanza ni mtalii au mzururaji?
Sasa tutajuaje wao wanasema ndege zililitwa kuvitia na kuongeza watalii, na tuliambiwa hatutakiwi kupunga wala kuhoji kauli zao, wao tu ndio husema ukweli.
 
Updates:
Leo nimefurahi sana baada ya ushauri wangu kufanyiwa kazi sana.
Jamani website ya Air Tanzania imebadilishwa mwonekano japo bado inaonekana haijakamilika sawa lakini inavutia.
Hili limenitia moyo na nimefurahi. Kumbe tunaweza kuwa na vitu vizuri.
Kama hili mmelifanya kwa uharaka hivi naamini tutafanikisha lengo.

Uzi wenyewe ulikuwa huu hapo chini:



Kikienda kwa mganga hakirudi, ndivyo fedha zetu zilivyopepea kwa mabeberu.

Tulijaribu kushauri kwa namna tulivyoweza kuwa Mh. Rais sisi tunaona fedha zingepelekwa maeneo memgine lakini akaona sivyo.

Sababu ndege sio za mtu ni za nchi basi tusaidie kushauri ili hata kama kuna kifaida kidogo basi kitusaidie kujenga taifa.
Mimi nimeamua kujikita moja kwa moja kwenye upande wa TEHAMA ya ATCL.

1. Ningependekeza mabadiliko makubwa sana katika tovuti yao:-
i. Sio responsive, hapa namaanisha ukiifungua kwenye simu au tablet inakaa vibaya sana kiasi cha kumvuruga mtu anayefanya booking.
ii. Kuna option ya kubadili lugha kuwa kiswahili. Lakini cha kushangaza ni sehemu tu ndo lugha inabadilika kwingine bado ni kingereza.
iii. Graphics hazivutii yaani ukiingia huvutiwi kutazama vitu zaidi picha hazina mipangilio mizuri ya rangi.
iv. Zile logo za social network mmezitoa wapi ni kama mmechora zenu. Hebu zibadilisheni.
v. Huwezi kufanya booking ya ndege siku tatu kabla wakati inaonyesha kuwa gharama itakuwa ndogo lakini ku book huwezi.


2. Jinsi ya kujibu wateja kwenye social networks naomba hapa mjaribu kuwa kama ttcl maana wao kwenye huu upande tulilalamika na sasa wamerekebisha. Mnajibu majibu yasiotosheleza hivyo inapelekea swali hilo hilo kurudiwa mara kwa mara.

Mengine wataongezea, tafadhali huu ni uzi wa kujenga changia kujenga na sio kubomoa maana kama hasara tumekula sawa sasa tuipunguze hakuna namna.
 
anigif_enhanced-buzz-20424-1379352564-10.gif

Ndege ng'wana mayo!..Ndege ng'wana mayo!..Ndege ng'wanamayo!..Ndege ng'wana mayo!..Ndege ng'wana mayo!..Ndege ng'wana mayo!..Ndege ng'wana mayo!..Ndege ng'wana mayo!..Ndege ng'wana mayo..
 
5910.gif

Pata dozi halafu Uza hayo madege ghali makubwa halafu fedha ziingize kwenye SGR.
 
Back
Top Bottom