Ndege zetu za Dreamliner 787 zaanza kupakia mizigo China

Katika hali isiyo ya kawaida na ukimya wa hali ya juu, ndege zetu za kifahari kuwahi kutengenezwa kwa matumizi ya kubeba abiria, zimebadilishwa Matumizi na sasa zimeanza safari za kupakia mizigo China.

Hii inafanya kuwa ndege zetu za 787 Dreamliner kuwa ndege pekee za model hizo duniani kutumika kubeba mizigo baada ya zile kenya.View attachment 1987034View attachment 1987035

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Unapoamua kusema uongo angalia kwanza hao unaowaambia huo uongo wanauelewa upi kuhusu huo uongo. Ona jinsi unavyoumbuka. Rubani ana post first experience yake ya long flight wewe unaingiza uongo wako wa kisiasa katika mambo ya kitaalam.
 
Baada ya kukosa root ya maana na abilia hata mie nilishawahi kung'oa viti vya Hiace na kuifanya ya mizigo.

Nikijuta kwa nini sikununua Pickup toka mwanzo.
 
Baada ya kukosa root ya maana na abilia hata mie nilishawahi kung'oa viti vya Hiace na kuifanya ya mizigo.

Nikijuta kwa nini sikununua Pickup toka mwanzo.
Kwanini ulitoa mihela yote ukanunua lidude lisilokuwa business plan kwa magharama ya kutisha.
 
Mahindi yenu pelekeni Mogadishu tu Somalia huko au Sudan!

Kwa mbwembwe za mmarekani utaskia mahindi ya Africa hayana viwango vya kuliwa na ng’ombe wake. Yatawapa kansa!
Kwanza mahindi yenyewe yako wapi. Sisi tunategema mvua kwenye kilimo chetu, unaweza ukawa na shida ya masoko ya mahindi kwa miaka miwili, baada ya hapo ukawa na baa la njaa linalotokana na ukame.

Hatuna umwagiliaji, hatuna hifadhi, na hatuna value addition ya maana. Marekani hata ukipata soko la kitu chochote anahitaji umpe uwezo wako wa ku- supply constantly consistent products miaka si chini ya 10. Hawahitaji kusikia kuna ukame au vitu kama hivyo.
 
Sio maajabu mkuu, ni jambo la kawaida kulingana na biashara ilivyo..

Kipindi cha Covid ilipokuwa kwenye peak mashirika meengi yalibadili matumizi ya ndege zao za abiria kuwa cargo...

Binafsi naona ni sawa tu, biashara ya mizigo inaweza kulipa na mahitaji ni makubwa kwa Tanzania hasa biashara kati ya China na Tanzania..
Kutumia ndege iliyotengenezwa speacial kwa abiria, na kuibadilisha matumizi huenda kudumu kwake kusiwe kwa muda mrefu kuliko unge-invest kutokea mwanzo kwa ndege ya cargo...

In short hio itakuwa ni kosa la mipangilio
 
Kutumia ndege iliyotengenezwa speacial kwa abiria, na kuibadilisha matumizi huenda kudumu kwake kusiwe kwa muda mrefu kuliko unge-invest kutokea mwanzo kwa ndege ya cargo...

In short hio itakuwa ni kosa la mipangilio

Inakubalika pande zote kitaalamu na hakuna madhara, na hata ukiwapelekea boeing wenyewe waconvert wanaconvert bila ubishi....hii kazi inafanywa na experts sio wahuni wa tabata dampo(jokes).... itadumu kwa muda uleule ukiwa unazingatia taratibu za kitaalamu.

Utofauti upo kwenye yai tu lile... baada ya kuweka viti unatoa viti na kufanya design kulingana na mizigo unayotaka kuweka, elewa tu kitaalam inawezekana na hakuna tatizo lolote labda kama unataka zianze kuwekwa blue prints, design calc na animation za solid works mpaka JF icorrupt (jokes)
 
inakubalika pande zote kitaalamu na hakuna madhara, na hata ukiwapelekea boeing wenyewe waconvert wanaconvert bila ubishi....hii kazi inafanywa na experts sio wahuni wa tabata dampo(jokes).... itadumu kwa muda uleule ukiwa unazingatia taratibu za kitaalamu..

utofauti upo kwenye yai tu lile... baada ya kuweka viti unatoa viti na kufanya design kulingana na mizigo unayotaka kuweka, elewa tu kitaalam inawezekana na hakuna tatizo lolote labda kama unataka zianze kuwekwa blue prints, design calc na animation za solid works mpaka JF icorrupt (jokes)
Mkuu cost ya kununua ndege ya abiria na kuiconvert kuwa ya cargo ni sawa na gharama ya kununua ndege cargo from the get go ?

Kaka naona sasa unaamua ku-insult our intelligence
 
Mkuu cost ya kununua ndege ya abiria na kuiconvert kuwa ya cargo ni sawa na gharama ya kununua ndege cargo from the get go ?

Kaka naona sasa unaamua ku-insult our intelligence

Hatununui ndege kwa ajili ya kuiconvert kuwa ya mizigo, nyakati kuna wakati zinatulazimisha kuziconvert kuwa za mizigo...

Si kweli gharama za kuiconvert passanger kuwa cargo ni sawa na kununu ndege nyingine... My brother sio kazi ngumu kama unavyofikiri hata kwente hangar yetu tu hapo inaweza kufanyika, KQ wanafanyia pale Nairobi tena ya mwishi kazi ilikuwa supervised na Mdada...Tambua pia hizi ndege toka kiwandani kuna wakati pia huja na hizo options...

Tanzania au Air Tanzania sio shirika la kwanza kufanya hivyo tena siku za karibuni mashirika mengi baada ya kupigika na covid yame turn into that option tena makubwa kabisa...
 
Hatununui ndege kwa ajili ya kuiconvert kuwa ya mizigo, nyakati kuna wakati zinatulazimisha kuziconvert kuwa za mizigo...

Si kweli gharama za kuiconvert passanger kuwa cargo ni sawa na kununu ndege nyingine... My brother sio kazi ngumu kama unavyofikiri hata kwente hangar yetu tu hapo inaweza kufanyika, KQ wanafanyia pale Nairobi tena ya mwishi kazi ilikuwa supervised na Mdada...Tambua pia hizi ndege toka kiwandani kuna wakati pia huja na hizo options...

Tanzania au Air Tanzania sio shirika la kwanza kufanya hivyo tena siku za karibuni mashirika mengi baada ya kupigika na covid yame turn into that option tena makubwa kabisa...
Mkuu mbona unatetea vitu vya ajabu COVID haikuanza jana, projections za soko zinafanyika kila wakati ningeelewa ndege iliyonunuliwa miaka ishirini iliyopi biashara ikabadilika kwahio mtu akabadili kuendana na soko, sio kitu kimenunuliwa within 5 years, na kipindi hicho hicho wengine walikuwa wanaconvert zao (hence walikuwa na advantage ya kujua makosa/wenzao wanafanya nini)...

Tena sio kwamba wamenunua moja, zaidi ya moja..., angalau wangekuwa na busara ya kumix and match.... Pia lazima ujue kwamba kitu ambacho from get go kimetengezwa sababu ya kazi fulani hata running costs zitakuwa ndogo tofauti na kilichofanyiwa customization
 
Wabongo tuache siasa, hiyo ni fursa ya kupiga chap money btn china na Tanzania maana lead time ya mizigo ni ndogo sasa....hapi vijana mnapaswa kuchangamka kabla hakujacha baadala ya kuanza siasa za CDM na CCM....

Walionunua ndege kwa cash hawakuachana na siasa. Huo mtaji wa uwekezaji wa matrilioni kwa biashara za mamilioni tena ya kuvizia vizia si jambo la mchezo. Ukiongeza na mtaji wa uendeshaji unabaki kusikitika tu. Anyway, pesa ya umma, who cares?
 
Hatununui ndege kwa ajili ya kuiconvert kuwa ya mizigo, nyakati kuna wakati zinatulazimisha kuziconvert kuwa za mizigo...

Si kweli gharama za kuiconvert passanger kuwa cargo ni sawa na kununu ndege nyingine... My brother sio kazi ngumu kama unavyofikiri hata kwente hangar yetu tu hapo inaweza kufanyika, KQ wanafanyia pale Nairobi tena ya mwishi kazi ilikuwa supervised na Mdada...Tambua pia hizi ndege toka kiwandani kuna wakati pia huja na hizo options...

Tanzania au Air Tanzania sio shirika la kwanza kufanya hivyo tena siku za karibuni mashirika mengi baada ya kupigika na covid yame turn into that option tena makubwa kabisa...
Acha uvivu, Boeing wenyewe hawajawahi ku convert ndege yeyote aina ya 787 let alone Dreamliner kuwa ndege ya mizigo. Na dunia nzima ni Sisi tu na kenya ndiyo tumefanya upuuzi kama huo ukiachilia kuna makampuni ya ndege yana ma Dreamliner zaidi ya 200 na hayajawahi kufanya upuuzi kama huo. Sisi tuna moja na tunaifanya cargo.
IMG_20211026_074959.jpg
 
Katika hali isiyo ya kawaida na ukimya wa hali ya juu, ndege zetu za kifahari kuwahi kutengenezwa kwa matumizi ya kubeba abiria, zimebadilishwa Matumizi na sasa zimeanza safari za kupakia mizigo China.

Hii inafanya kuwa ndege zetu za 787 Dreamliner kuwa ndege pekee za model hizo duniani kutumika kubeba mizigo baada ya zile kenya.

View attachment 1987034View attachment 1987035

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Hii sio Air Tanzania👆👆

Soma chini hapo
1635236324027.png
 
ATCL ni mradi wa upigaji wa mwendazake...kalipa cash kachukua chake kabisa....kaenda zake

Hii kitu watu wamechezea sana nchi na inaelekea bado hawajashiba. Na kwa vile hakuna wa kuhoji, wanaendelea kununua tu na kukunja 10% wakijua maisha ni mafupi. Kizazi kijacho ndicho kitajali, labda.

Siku jumba bovu likikaribia kuanguka watakuwa wameshazeeka wanajiandikia vitabu vyao na kusikitikia makosa ya kimkakati waliyofanya kwa “nia njema” kwa taifa! Halafu mapendekezo kibao modeli ya “tujisahihishe”. Firebrands kama kina Lissu, Sugu, Fatma, Msigwa, Maria, Lema, Heche n.k. watakuwa washazeeka; wamechoka mijadala. Sad.
 
inakubalika pande zote kitaalamu na hakuna madhara, na hata ukiwapelekea boeing wenyewe waconvert wanaconvert bila ubishi....hii kazi inafanywa na experts sio wahuni wa tabata dampo(jokes).... itadumu kwa muda uleule ukiwa unazingatia taratibu za kitaalamu..

utofauti upo kwenye yai tu lile... baada ya kuweka viti unatoa viti na kufanya design kulingana na mizigo unayotaka kuweka, elewa tu kitaalam inawezekana na hakuna tatizo lolote labda kama unataka zianze kuwekwa blue prints, design calc na animation za solid works mpaka JF icorrupt (jokes)
Wewe unaonekana hujawahi kusafiri wewe. Hebu nenda Dubai Dbx terminal pale kama utapanda ndege aina ya 787 Dreamliner basi wewe utakuwa unaenda destination ya maana sana, labda Paris, Zurich n.k. ni nadra sana kupewa ndege ya kuunganisha safari kama mnaelekea destination za kajamba nani hizi za Africa na Asia hizi developing countries, yani uelewe jinsi hizi ndege za dreamliner zilivyo za thamani na ni very exclusive kwenye routes hazipelekwi kwenye routes za hovyo. Jaribu pale Jknia kama utaona ndege aina ya Dreamliner imekuja directly bongo. Hakuna. Cha ajabu eti sisi ndiyo tumenunua hizo Dreamliner tunabebea mizigo

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom