BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
Mimi nichochofahamu ndege ikiingia kwenye airspace yenu huwa hakuna compromise ni kuiteka au kuilipua tu.Watanzania tusiwe wapole kama kondoo.Tusifunze kwa China mwaka 2001,kwa ndege ya Marekani au kwa Irani kwa ndege ya Uturuki mwkaka huu walichofanya. Teka au lipua.Hakuna mchezo kwa suala la mipaka na hilo huwa halihitahi amri ya Amiri Jeshi mkuu.Unataka kuniambia kuwa polisi kudhibiti jambazi husubiri amri ya IGP a wapi!
Polisi na JWTZ utendaji wao ni tofauti kwa asilimia 100 jeshi likifanya upuuzi unaoushabikia wewe nchi inaweza kuingia kwenye mgogoro wa kimataifa na siyo na Malawi tu bali dunia nzima mambo ya kimataifa huwezi kulinganishaa na Polisi kumuua au kumkamata jambazi.Kumbuka Polisi anashughulika na watu wa nchi yake na ndiyo maana hata wakiwafyatulia risasi na kuwauwa kama kule musoma walivyofanya kutandika risasi watu zaidi ya watano hakuna aliyehoji nje ya nchi. Kauwe idadi hiyo hiyo ya watu nje ya nchi usikilize muziki wake. Hebu kacheze hata mgambo tu utajifunza mambo mengi hutakuwa shabiki wa vitu usivyojua kama ulivyofanya hapa.