Ndege za serekali zilizotakiwa kunyunyuza dawa kuuanzige Manyara na Kilimanjaroa zilishauzwa kwa 500,00 kila moja.

kidadari

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
8,647
9,574
Wakati nchi ikihaha kupambana na Nzige waharibifu waliovamia maeneo ya Manyara na Kilimanjaro na kuhatarisha mazao imebainika ndege zilizokua na kazi ya kipambana na nzige hao na kunyunyuza dawa zilishauzwa kwa bei ya kutupwa.

Ndege hizo ziliuzwa kwa 500,000 kila moja jambo ambalo linaipelekea serekali.ugumu wa kupambana na janga hili linalohatarisha usalama wa chakula. Bado hatujajua baada ya mikoa hii nzige hao wataelekea wapi.

 
Hao waliouza wawajibishwe. Kwanza wote waliouza mali za serikali kama nyumba, ndge nk kwa mazingira ya kihuni washughulikiwe.
 
Sijaelewa, hizi ndege ziliuzwa toka 2013, zaidi ya miaka 7, sasa kama ziliuzwa maana yake hazipo tena chini ya milki yao sasa wanazitumia vipi?
 
Labda ya pili maana Sambeke alikua nayo kabla
Ile alikuwa nayo mwanzo ilikuwa ni grand caravan aliinunua kwa mzungu,akaiuza kwa ile kampuni ya kuruka na parachute Mlima Kilimanjaro, na hiyo ndege nayo ilipata ajali Kule mabogini moshi,ikaua rubani na waruka na parachute.

Baada ya kuuza ndo akanunua hicho kindege cha mnada,laki tano, kama sio kilimo anga basi alikinunua tanapa.
 
Moderator huu uzi unafanana na huu ila inaonekana mmechoka but mkiwa active hata mada isiyofanana mnaunganisha!.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom