kanywaino
Senior Member
- Sep 10, 2010
- 171
- 19
hekima ni muhimu katika kila jambo hasa ambapo kabla ujaongea unafikiri kwanza..wa malawi wanaweka watafiti wakuchimba mafuta viongozi wanakurupuka eti tuko tayari kwa vita baada ya kuwa tayari nao kuchimba mafuta...aibu wao wanaenda kisomi zaidi hawana kelele