Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Wakuu wa nchi kwa wale waliokwisha panda hizi ndege za Klm na BA ,zina mapanga boi au hazina .naomba kujuzwa please.
Wakuu wa nchi kwa wale waliokwisha panda hizi ndege za Klm na BA ,zina mapanga boi au hazina .naomba kujuzwa please.
Wakuu wa nchi kwa wale waliokwisha panda hizi ndege za Klm na BA ,zina mapanga boi au hazina .naomba kujuzwa please.
Mashirika mengi makubwa yanatumia hizi ndege kwa regional flights......Watanzania ujuaji mwingi.WALIOANZISHA HII MADA YA MAPANGABOI baada ya ukweli kubaini9ka kuwa karibia mashirika yote yana hizi ndege tena zinafaa sana kwa safari fupi fupi WAMETOKOMEA KUSIKOJULIKANA na badala yake wamewaachia uwanja wafuasi MAAMUMA (nyumbu) ambao sasa wanauliza hata vitu visivyo na msingi.