Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,554
- 12,674
Media Iliyodai interception ni ya wasyria wenyewe. Waarabu ni wazuri sana Kwa propaganda .Isreal hushambulia syria pale inapojiona ipo hatarini.Sasa hadi base ishajengwa ndio waanze kushambulia saizi hapo wamebugi cha muhimu apeleke ground forces au aende kuishambulia Iran yenyewe nchini mwake.Ila kingine naona wamejitahidi kuintercept 2 missile's maana kipindi cha nyuma hawakuwa wakiziona
NB;mashambulizi ya anga hayatafua dafu maana Israel ameishambulia sana Syria na hakuna kilichobadilika hadi sasa zaidi ya Syria kuendelea kuimarika
Acha wapigwe wanarudisha slave trade pumba.vu sana waleWaarabu ndio wanaofanya dunia isiwe Salama !
Kwa hiyo wao wakisema wameintercept ni propaganda??Je wakisema wameshambuliwa kwanini tusiamini kuwa hiyo nayo ni propaganda??Media Iliyodai interception ni ya wasyria wenyewe. Waarabu ni wazuri sana Kwa propaganda .Isreal hushambulia syria pale inapojiona ipo hatarini.
SIO kweli mkuuWaarabu ndio wanaofanya dunia isiwe Salama !
Israel nao bwana, kwa nini wasirushe hata kombora moja tu PYONGYANG ili kumsaidia Wigiman.
hao mayahudi na marekani ndiyo wanaleta amani???Waarabu ndio wanaofanya dunia isiwe Salama !
Waarabu ndio wanaofanya dunia isiwe Salama !
Safi sana wakome hao magaidi wa kiarabu na mishetani yako, I love Israel and I stand with it
Mungu sio dhalimu kiasi hicho mkuuTaifa teule hili lililochaguliwa na Mungu Baba anaehubiri upendo na amani,limebarikiwa nguvu za kuua na kubomoa tu na sio kutafuta suluhu ya amani na upendo!!
Kabla hujajiuliza hayo jiulize ilikuaje kiduku akafurumusha kombora japan mara mbili na bado mitambo ya kuzuia makombora ya usa haiku intercept??Kinacho nishangaza uko Syria hivi ile midubwasha S-300 ime pelekwa kwa kazi gani kule maana kila Kukicha wanaume wana ingia wana kinukisha kisha hao wana kisanua..