Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Kuna tetesi nimezipata kuwa Ndege zinazomilikiwa na Kampuni ya Uwindaji katika pori tengefu la lolionde zimekuwa zikiingiza watalii katika eneo ilo kinyume cha taratibu kwani hakuna kituo cha uhamiaji wala kituo cha polisi katika eneo hilo.
Mweny datas naomba atuwekee.
Mweny datas naomba atuwekee.