kichwa mbovu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 706
- 503
Mkuu si uende tu kufanya booking kwani tatizo ni nini??Kwa hiyo unataka kutuambia huyo waziri ni muongo sio, ametunga tuhuma kwa watumisha atcl kwamba wanahujumu shirika kumbe bei zao ziko juu !!, nililisikia hili sikusadiki lakini kwa kuwa wewe umetoa ushahidi na namba hawa atcl wajihoji kama wanweza hii biashara, but tuliambiwa na serikali ya ccm kwamba ndege zake zitakuwa na bei za wanyonge, hii ikoje jamani ?