Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #21
Ndege miaka yote zimekuwa zikipita hapo anga ya Libya, na baadae zinaingia anga ya Sudan.
Nimekuwa nasafiri toka Afrika kwenda Ulaya kwa miaka 15 sasa safari zangu zote kwa ndege mbalimbali KLM, British Airline, Swiss Air na nyinginezo hazikuwa zinakatisha anga la Libya, ila kuzungukia huko Uyahudi kisha kuingia Ulaya. Baada ya kifo cha Sadam ndege za abiria zinavuka bahari ya kati kupitia Libya, na wengi wanaosafiri wameshuhudia hi.o.