Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,717
- 1,472
Muwe mnasoma ilani kama inawafaa kabla ya kuchagua.Heeeeee???!!!
Yule mkwere bahati nzuri/mbaya alipata sema ilani haitekelezeki. Sasa tunaye Jiwe Sezonje anaisimamia ipasavyo.
Muwe mnasoma ilani kama inawafaa kabla ya kuchagua.Heeeeee???!!!
FOR YOUR INFO Ni requirement za kimataifa kwa mtu yeyote anayetaka kuanzisha route za kimataifa, kufanya safari chache za domestic kwanza! Ko hamna njia dreamliner ingeruhusiwa kuanza moja kwa moja masafa marefu.
Moja ya sababu zinazofanya nchi zetu kuwa masikini ni kuamini sana wanasiasa.Kwani abiria hamna wanaosafiri kwenda hizo nchi
Bila shaka walifanya reseach kwanza kabla ya kuinunua
Hakuna research wala business plan. Baada ya kununua ndiyo business plan inaandaliwa. Research ni tofauti na matamanio. Imenunuliwa kwa matamanio.Kwani abiria hamna wanaosafiri kwenda hizo nchi
Bila shaka walifanya reseach kwanza kabla ya kuinunua
Kilichobaki sasa hivi ni kwa waTz wasiojielewa kuaminishwa kila anayesema kinyume na serikali ni mpinga maendeleo, ni mpiga dili.Na wale waliotuambia walisutwa na kupigwa risasi
hahahaha naona mnaendelea kupata tabu hahahaha pole sanaTumeondolewa kwenye mfumo wa kimataifa wa aviation wa IATA kwa sababu tuna madeni ya Mabilioni ya Shilingi, Hizo International flight tutaziratibu vipi?
jana tu nimefanya booking ndege imejaaaaaaaa, ilibidi nifanye booking fastjetIkiwa panga boy zenyw pa1 na seats 75 huwa hazijaz abiria wa local routes sembuse hili jini nyonya mafuta tulilolinunua cash lenye siti 265 ad lijaze sio leo labda bei ya ticket iwe chin zaid ya fast jet.....sasa je faida tutaiona kweli
Uoga ndio umasikini wakoKwa abiria wapi wakuijaza ndani ya mda mfupi ilhali biashara yenyewe ina ushindani kuna ndege ambazo tiari zishajijengea jina kama ethiopia airways na qatar
Nadhani itafika tu watanzania watamchoka kinyonga huyu anayejidai anajua kubadili rangi kila siku wakati yeye ndio katufikisha hapa tulipoKwa aina hizi za siasa na aina ya wapinzani tulionao kwa sasa CCM itaendelea kutawala miaka mingine 80 au 100 kabisa, tangu jumapili ileeee mnaongelea ndege.Kwa maana nyingine mnacheza mziki wowote anaouanzisha JPM.Mbaya zaidi kaja mbunge wa Kawe kawaingiza chaka eti Dreamliner inagharimu mil 67 kwa saa kila ikipaki na watu mmekenua meno.Na vi smartphone vyenu hakuna hata mwenye akili ya Ku Google ukweli kuhusu hilo. Kumbe ndo maana mliambiwa MTAPATA TABU SANA. Akili zenu tayari zinajulikana zilivyo.
Kutaka kujua business plan ipo au haipo unaangalia matendo(kinachoendelea).
Afadhali mumejaribu kumwelewesha huyo mtu anayedhani vigelegele ndio ufanisiAcha ubishi ndugu yangu.
Business plan sio siri ya watu fulani fulai, ni jambo la wazi kwa washika dau. ATCL walishakiri hilo toka mwaka juzi kuwa, hakuwa na business plan yoyote mpaka walipoletewa ndege mpya na kutakiwa kuandaa hiyo business plan.
MTU wa Chattle na research wapi na wapi?Kwani abiria hamna wanaosafiri kwenda hizo nchi
Bila shaka walifanya reseach kwanza kabla ya kuinunua