Faana JF-Expert Member Dec 12, 2011 31,666 32,970 Jul 20, 2014 #22 Hivi juzi tu ilitokea ajali Nairobi, ndani ya mwezi mmoja Kampala, hebu tuchukue tahadhari kwenye vyombo vyetu vya angani
Hivi juzi tu ilitokea ajali Nairobi, ndani ya mwezi mmoja Kampala, hebu tuchukue tahadhari kwenye vyombo vyetu vya angani
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,100 6,022 Jul 20, 2014 #23 Madame B said: mie ningeomba niondoke nao. Maisha ya Bongo yameshanichosha Click to expand... Hata hapa bongo mbona kuna watu wanaishi kama mtoni tu....njoo kwangu banana huku uone tofauti.
Madame B said: mie ningeomba niondoke nao. Maisha ya Bongo yameshanichosha Click to expand... Hata hapa bongo mbona kuna watu wanaishi kama mtoni tu....njoo kwangu banana huku uone tofauti.
jMali JF-Expert Member Nov 9, 2010 8,379 4,899 Jul 20, 2014 #24 sipati picha hilo dege lingetua shambani kwa kansiime mbona wazungu wangejuta!