Ndege yatolewa majini Bukoba

HIMARS

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
69,345
94,508
Hii ndege kwa jinsi ilivyobondeka mbele, haikuwa 'runway overshoot', yawezekana palikuwa na shida, ni wakati uchunguzi wa makini ufanyike.

Ni kama 'imestall'. Aliyesema alifanya mawasiliano na marubani aliwasiliana nao kwa njia gani? Maji yamewaanza marubani kwanza.

Hiyo athari kutokana na hizi picha yaonesha wengi wamekufa kabla ya maji kuwakuta kutokana na kuvunjika viungo.

20221108_130455.jpg
20221108_130727.jpg
 
Hata wale waokoaji waliozamia ndani ya ndege walisema hilo.
Walisema walikuta wengine washakata moto, wana majeraha usoni na wengine mikanda ilikua imewabana so walifirukuta hapo mpka wakakata moto, hasa waliokua wamekaa mbele.
 
Hii ndege kwa jinsi ilivyobondeka mbele, haikuwa 'runway overshoot', yawezekana palikuwa na shida, ni wakati uchunguzi wa makini ufanyike.

Ni kama 'imestall'. Aliyesema alifanya mawasiliano na marubani aliwasiliana nao kwa njia gani? Maji yamewaanza marubani kwanza.

Hiyo athari kutokana na hizi picha yaonesha wengi wamekufa kabla ya maji kuwakuta kutokana na kuvunjika viungo.

View attachment 2410269View attachment 2410270
Eeeh Mungu
Hii si ajali ya kawaida

Mbona kama imebondwa ama iligonga mwamba?

maharage ya ukweni ulisema hii kitu
 
Mzigo ni kama uli pigwa mtama hewani uka shukia kichwa.alie kua ana wasiliana na rubani sijui waliongeaji apo
Ingeshukia kichwani, hiyo sehemu yote ya mbele na juu ingekuwa imeharibika sana. Lakini iko almost intact. Lakini ukiangalia vizuri, uharibifu mkubwa umetokea sehemu ya mbele KWA CHINI.

Hii inaonesha kwamba ilikuwa katika harakati za kutua. Sehemu ya mbele ikajiburuza chini (kwenye kina kifupi cha maji), ikapinda na kusababisha upande wa nyuma kuning'inia (kuelea) juu ya maji.
 
Back
Top Bottom