HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,345
- 94,508
Hii ndege kwa jinsi ilivyobondeka mbele, haikuwa 'runway overshoot', yawezekana palikuwa na shida, ni wakati uchunguzi wa makini ufanyike.
Ni kama 'imestall'. Aliyesema alifanya mawasiliano na marubani aliwasiliana nao kwa njia gani? Maji yamewaanza marubani kwanza.
Hiyo athari kutokana na hizi picha yaonesha wengi wamekufa kabla ya maji kuwakuta kutokana na kuvunjika viungo.
Ni kama 'imestall'. Aliyesema alifanya mawasiliano na marubani aliwasiliana nao kwa njia gani? Maji yamewaanza marubani kwanza.
Hiyo athari kutokana na hizi picha yaonesha wengi wamekufa kabla ya maji kuwakuta kutokana na kuvunjika viungo.