Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,864
- 5,672
Mtakufa midomo wazi awamu hiiKwa ajili ya abiria mmoja tu wa Chato makofi tafadhali tena kwa wingi
Mtakufa midomo wazi awamu hiiKwa ajili ya abiria mmoja tu wa Chato makofi tafadhali tena kwa wingi
Subirini trilioni za mchanga mnunue nyingi kwa pamoja.Bombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
Wewe kama ulisha laaniwa ulilaaniwa tu kamwe laana hiyo haita kutoka mtu mmoja amesimama kwaajili ya Watanzania na Taifa kwa ujumla bado mnashindwa kumsapoti hakika nimeamini Nabii hapati heshima kwao Nchi ilikuwa haina ndege hata moja huyu amethubutu bado tunamdhihaki hakika wenzetu mataifa mengine wanamtamani sisi tunaleta dhihaka hakika MUNGU Atusaidie Sana tumejisahau tunashabikia kuliko ukweli.
Asante kwa taarifa.Ila kwa nia njema kabisa naomba taarifa kuhusu ile ambayo ilikuwa parked,tayari inakata mawimbi? Maana haitakuwa busara kuongeza zingine wakati hii bado haijatengemaa. Who knows, labda ndege zenyewe, yaani make ina an inherent shortcoming.Bombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
Hii itakua ya pili maana moja tumeshaambiwa imeharibika tayari.
Dah nasikia moja haiwezi ruka, inaletwa nyingine tena!??
Asante kwa taarifa.Ila kwa nia njema kabisa naomba taarifa kuhusu ile ambayo ilikuwa parked,tayari inakata mawimbi? Maana haitakuwa busara kuongeza zingine wakati hii bado haijatengemaa. Who knows, labda ndege zenyewe, yaani make ina an inherent shortcoming.
Hiyo ni replacement ya ile iliyoharibika au? Watulipe tu pesa zetu kudanganywa mpya kumbe used
Lishakufa
si nasikia pangaboi moja lishakufa!!au nilisikia vibaya
Hiyo ni replacement ya ile iliyoharibika au? Watulipe tu pesa zetu kudanganywa mpya kumbe used
Baada ya ile moja kufaBombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212