Mbona meza kuu simwoni mbunge ? au hakualikwa?
Mbunge wa Chadema hawezi kukaa meza kuu na huyo DC wa Mbeya mla rushwa mkubwa!! Sugu ni RAIS wa Mbeya hawezi kuongozana na hivyo vikaragosi!!
Mbona meza kuu simwoni mbunge ? au hakualikwa?
hivi hii precision ndo shirika la ndege la taifa eeeh?:confused2:
Hivi hizo ngoma ni zan nini sasa? yaani wanaichezea ngoma ndege? hawana kazi? Hivi Precision Air ni ndege ya serikali? Maana hapo tuna-promote biashara ya mtu binafsi huku za kwetu zikipasuka vioo as if ni Bajaj. MANI njoo huku uone maajabu watu wananengulia ndege, kule kwetu Lushoto hatuwezi kuichezea ndege hivi bhana muulize zumbemkuu
hiyo habari hapa sio jukwaa lake mnatujazia server tu
VIPI NIMEWAVURUGA? au NIMEKUVURUGA?? Nisaidie ili niweze kukujibu SWALI LAKO
haaa mhuuuu huyo sugu labda ni raisi wa mama yakoMbunge wa Chadema hawezi kukaa meza kuu na huyo DC wa Mbeya mla rushwa mkubwa!! Sugu ni RAIS wa Mbeya hawezi kuongozana na hivyo vikaragosi!!
Na hao fire sasa hapo mbona wanamwagiana Maji wenyewe kwa wenyewe? au walipooona inatua wakajua inaungua hii....hahahahaaaaa kazi tunayo Twambombo
haaa mhuuuu huyo sugu labda ni raisi wa mama yako
Angalia usije ukapewa ufunguo wa CHOO CHA MASHOGA.SIO JUKWAA LAKE? ni LIPI JUKWAA LAKE? nieleweshe... HOW NINAWAJAZIA SERVER??? ELIMU ni UFUNGUO nielimishe ILI nisirudie KUJAZA SERVER TUU...
hivi hii precision ndo shirika la ndege la taifa eeeh?:confused2: