Ndege ya Lowassa inayopaa, na abiria walioachwa wameduwaa!

Nadhani hii ndiyo ile nyumba ya Phillip Chiyawanga wa Zimbabwe. Nilipata kuona power point slides za nyumba hiyo nikashindwa kuamini kuwa nyumba hii ni ya mzimbabwe ambaye nje kidogo kuna watu wanahangaika sana ili kupata ugali wa siku moja tu. Ngoja nitatafuta slides hizo nizilete hapa.

Habari zaid soma hapa http://www.newzimbabwe.com/pages/chiyangwa32.12810.html
 
Nyumba ya nguvu kweli2!
Sasa ameikodisha au familia inaishi? To maintain a 25 room house you have to be rich!
Hivi Bongo wapi kuna nyumba kama hii?
Any information? Arusha au Dar wapo watu wana pesa!
 
Cha kusikitisha ni kwamba mara nyingi ukiwa na nyumba kama hiyo basi ujue pia utakuwa unaishi huko mara chache sana,,, maana aidha utakuwa busineman/woman ambaye utakuwa unasafiri sana,,,hivyo utakuwa hutulii home, so mara nyingi mahouseboy/girl ndio wanatesa kwenye nyumba kama hizi.
 
sasa mbona mnaanza kuangalia private life za watu jamani ? leteni basi na nyumba ya zitto kabwe na freeman tuzione !!
 
Na ile nyumba ya Presedent "Mjasilimia mali" iliyopo Lushoto tunaomba tuletewe picha yake hapa mezani
 
Hivi hizi picha za nyumba za watu tukishaletewa hapa...whats next? Halafu zinatusaidia vipi?
 
Hiyo nyumba yaweza kuwa Uarabuni au Uchina.. but inawezekana kuwa sehemu fulani hapo kijijini.. ndio maana tunauliza walioona maana inaweza kutuinspire sisi wengine ambao bado tuko kwenye vibanda vya makuti.. it doesn't hurt to dream...
 
hilo bao la kisigino, si unaona hata aliyeleta picha mwenyewe hajui hiyo nyumba ipo wapi !

zingatia, "yaweza kuwa Uarabuni au Uchina"....
 
Cha kusikitisha ni kwamba mara nyingi ukiwa na nyumba kama hiyo basi ujue pia utakuwa unaishi huko mara chache sana,,, maana aidha utakuwa busineman/woman ambaye utakuwa unasafiri sana,,,hivyo utakuwa hutulii home, so mara nyingi mahouseboy/girl ndio wanatesa kwenye nyumba kama hizi.

Wenye nyumba kama hii mara nyingi unaweza kukuta sio watu wenye furaha na maisha.

Mkjj: ungetukamilishia picha hiyo vizuri sana kama hapo pembeni ungetuwekea pia ile nyumba ya ndugu yetu wa pale kijijini kwamtipula.
 
chiyangwafrount.jpg



chiyanwabedroom.jpg



Tatizo kubwa la maharamia wanaoiba import support na pesa za walalahoi bongo wanajenga nje ya Tanzania sasa hivi wamepata mahali kwa kuficha kule Uarabuni hebu angalia vijisafari vya huko vimekuwa mara ngapi kwa higher authorities.

Wakishirikiana na WTZ wazawa wanajenga nje na kuendelea kukaa nyumba za NHC ambazo zinakodishwa kwa bei ndogo ambayo siyo iliyopo kwenye market. Jambo la kwanza hawa waliokuwa na viwanda na utajiri wasiendelee kupata subsidy kwenye nyumba hizi wajenge nyumba zao za nguvu.

Picha hapo juu ni Borrowdale Zimbabwe anapoishi Chiyangwa kama Kichuguu alivyosema. Huyu ni mbuge aliyekwenda jela lakini ni kati ya wale waliofaidika kwa kuwa karibu na Mugabe katika kupata mashamba na pesa za walipakodi alianzisha Affirmative action kabla Mugabe hajamsitukia na kumuweka ndani kwa muda. Shule yake ni darasa la kumi na mbili (alifeli hata hivyo) na ana degree za kutunguliwa na manati.

Mwanakijiji tuambie zaidi.
 
Hold up!! Hii nyumba hiko Bongo ama ni nyumba ya mtanzania lakini hiko nje ya bongo(tanzania)?
 
Hold up!! Hii nyumba hiko Bongo ama ni nyumba ya mtanzania lakini hiko nje ya bongo(tanzania)?

Nyumba aliyo-post Dua iko Zimbabwe, ni ya jamaa wa Zimbabwe. Picha ya MJJ sijui ni ya nani na iko wapi. Lakini nyumba ya huyo mzimbabwe ni kali sana kama inavyoonekana kwenye hiyo picha. Huwezi kuamini kama uko Zimbabwe ambako watu wengi wanaishi maisha ya kubahatisha na hawana uhakika wa mlo wa siku inayofuata.
 
Inasikitisha sana unapoona majumba kama hayo yamejengwa ndani ya nchi iliyo kwenye hali ngumu kama Zimbabwe ambayo haina hata fedha za kigeni. Kibaya zaidi ni kwamba fedha hizo wanakuwa wamezipata kwa njia za panya/njia za ujanja ujanja wa kuiba hela ya walipa kodi wa nchi. Ukichunguza sana mwisho wa siku utakuta watu hao wako very close na viongozi wa nchi.
 
Hivi wale waliokula kamisheni (cha juu) ya mabilioni ya RADA wakijenga mahekalu kama haya tutashangaa? hao ni bila kutaja IPTL,Richmond etc.
 
Tatizo kubwa la maharamia wanaoiba import support na pesa za walalahoi bongo wanajenga nje ya Tanzania sasa hivi wamepata mahali kwa kuficha kule Uarabuni hebu angalia vijisafari vya huko vimekuwa mara ngapi kwa higher authorities.

Umewagusa wengie hapa kaka.....

Tanzanianjema
 
Back
Top Bottom