Nina wasiwasi kama hizo picha ni za TANZANIA.Picha hizo zimesambaa sana kwenye e-mail za watu mbalimbali.Mara ya kwanza kulikuwa na kichwa cha habari kinachosema "Nyumba ya BOT Chief Balali,Brussels" na e-mail zilizofuatia baada ya wiki hivi ndio zimeandika kuwa ni "Nyumba ya Manji - Upanga".E-mail hizo zimesambazwa kutoka kwa Waungwana wa Standard Chartered Bank - DSM na pia watu wa Heritage Insurance Company - Dsm wamezisambaza sana picha hizo!Sasa mwenye Ukweli na picha hizo atueleze,lakini nina wasiwasi kuwa hapo si Dar!
Classic stuff!
No Ngosha No! Yaani, unataka watu wadhanie mimi nimebadilika juu ya Lowassa... akapanda ndege nyingine akaipundua safari kabisa.. halafu walitaka watu tuendelee kukaa kwenye ndege isiyojulikana inakwenda wapi alimradi tuseme tumetoka Airport!
Hakuna wa kumshitaki au hakuna ushahidi au hakutenda kosa au... au...Nani atamshtaki?
Hakika unahitaji nishani ya consistency.
Kwenye hilo hujabadilika hata chembe na maandishi yako hayaongopi.
Hayo uliyaandika zaidi ya miaka 9 iliyopita!!
Sijui Ndege yetu ingekuwa inapasua anga zipi leo hii kama safari ya matumaini isingeishia Dodoma!mwawado.. hiyo katuni ilienda sambamba na ile article kwani sidhani kama article peke yake ingewafanya wakurupuke kujibu. Nasikia siku ile ya Jumatano kwenye viwanja vya Bunge wabunge walionekana wakichekea pembeni na Kiongozi wetu shujaa, hodari na mahili aliyetamba Bungeni alipoona hiyo nakala mori ulianza kumpanda.... ndipo akaamuru mvua inyeshe!
I see!Consistency! Sawasawa kabisa. Inaonekana Mwanakijiji ana chuki ya ndani kabisa juu ya Lowassa. Ni personal grudges.