KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
siku nyingine namshauri lowassa atoe Njiwa !
Naona hii itakuwa ya mwisho kwa mwezi huu.. nitawaachia wengine sasa. Maana ukionywa mara nyingi lazima usikilize.. huwezi kujua wengine wanakutakia mema.
mama Mchungaji..! haya uzidi kuniinua!
MKJJ Embu Muonee Huruma huyu Mzee ataanguka kwa pressure,Si umesikia Vumbi lililotimka Abuja (Nigeria)?.Waziri kaanguka Bungeni baada ya kuandamwa na Shinikizo la kutetea wala Rushwa,kabla hajafikishwa Hospitali, jina lilishabadilika na kuanzia na Marehemu!!Sasa naona na kwa EL hali si nzuri sana,na haswa baada ya Waasisi wa CCM kuwakalia kooni,nafikiri wanajuta kuwepo kwenye Madaraka....(Joke), katuni nzuri message delivered!!!!
Kama zile katuni za Sanifu zilizompa pressure mzee Nyanda(RIP)...Ila kama EL hajui ndio faida za utandawazi na demokrasia wacha apewe 'shavu' kwa makala na katu.MKJJ Embu Muonee Huruma huyu Mzee ataanguka kwa pressure,Si umesikia Vumbi lililotimka Abuja (Nigeria)?.Waziri kaanguka Bungeni baada ya kuandamwa na Shinikizo la kutetea wala Rushwa,kabla hajafikishwa Hospitali, jina lilishabadilika na kuanzia na Marehemu!!Sasa naona na kwa EL hali si nzuri sana,na haswa baada ya Waasisi wa CCM kuwakalia kooni,nafikiri wanajuta kuwepo kwenye Madaraka....(Joke), katuni nzuri message delivered!!!!
Mwkjj, kama unampuzisha EL, tafathari aliye na data za Pesatatu, No, i mean Pesambili B, M. Si mnakumbuka alikuwa ni W/F wakati wma awamu za fisadi mkaa na -jeuri. Yawezekana nae yumo kwenye kiwira, nk
Bi Senti 50,shame on you MwanakJJ! how dare you? uhuru wa mawazo siyo kufanya ulivyofanya yaani umechukua mstari mmoja na kuigeuza ili kumdhalilisha Waziri wetu Mkuu. Sijui inakupa furaha gani wewe huyo mzee kila akiamka anataka kujua magazeti yameandika nini kuhusu yeye. Umeshamsema inatosha anza wengine!
asante.