Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 893
Ndege ndogo ya idara ya wanyama pori inasemekana imepotea na haijaonekana tangu ilipoondoka uwanja mdogo wa ndege wa Arusha kuelekea Loliondo.
Inasemekana ndege hiyo ilikuwa imebeba vigogo wa idara hiyo wakielekea Loliondo na leo longido kukutana na mafisa wa maeneo hayo.
Mwenye habari kamili atuambie
Inasemekana ndege hiyo ilikuwa imebeba vigogo wa idara hiyo wakielekea Loliondo na leo longido kukutana na mafisa wa maeneo hayo.
Mwenye habari kamili atuambie