Mmmhh, bora wameigundua hitilafu ikiwa chini. Huko juu tusingepata tena muda wa selfie
mkuu hiyo ndege Ni most advanced na computerized hitilafu yoyoteinasoma kwenye computer ,kutoa warning na kusolve problem
Mmmhh, bora wameigundua hitilafu ikiwa chini. Huko juu tusingepata tena muda wa selfie
Usijidanganye kutengeneza dreamliner siyo sawasawa na kufuga kuku mkuu. Kitu brand new ianze kupaki mapema yote hii hata gari tu haiwezekani. Tumepigwa.Jambo la kawaida kwenye mambo ya usafiri wa anga,huwezi kuzuia kuharibika..
Fast jet itakuwa imeingia ubia na bombardierNdege ya Boeing 787-8 Dreamliner imeharibika kuanzia jana jioni baada ya kufika jijini Mwanza haikuweza kuendelea tena na safari mpaka sasa tatizo halijukani .Baadhi ya Abiria kutoka Arusha kuelekea Dar es Salaam tumeshindwa kuendelea na safari leo.
Abiria zaidi 106 tumekwama Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport {KIA} kuanzia saa tatu asubuhi baada ya kuambiwa ndege Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner ambayo tulikuwa tunagemea kusafiri nayo kuelekea Dar imepata itilafu ikiwa Mwanza jana .Abiria wengine wengine walihamishwa kwenye ndege aina Bombadier Q300 waliendelea safari. Wengine tumebaki uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport mpaka muda wa saa tatu ambayo tumeambiwa tutaenda kwa kutumia ndege ya kampuni ya Fasjet.
Kulikuwa na taarifa ndege nyingine Bombadier kuharibika mwenzi wa pili sasa ipo Mwanza
Inawezekana Rais hashauriki au hafikishiwi ushauri; Bombadia moja "imekufa" Mwanza, ATCL inajigamba kuleta Dreamliner - JamiiForums
========
Updates;
Saa 21.45 Abiria zaidi 78 tumehamishwa kwenye ndege Fasjet kuendelea na safari kuelekea Dar es Salaam.
Tena tunaleta double double, anaechukia ahamie sudani kusinIkiharibika tunaleta nyingine tena kwa cash money, bampa to bampa mpaka haters wapaliwe!!!
Gari langu jipya siku ya tatu tu ilipata hitilafu mpaka fundi alipokuja kurekebisha. Hata binadamu huugua na kwenda hosp, sembuse ndege? Let us be positive asee!
Tatizo la waranzania tunapenda sana kushabikia mabaya.utakuta mtu kila siku umuombea mwenzake limpate baya hili tu apate kuongea na kuzodoa.zuri hara siku moja halishabikii.tena kuna mijitu huonba hata watanzania wenzao wadondoke baharini na hio dream line mradi tu apate oja ya kumnanga raisi magufuri huo ni umasikini wa akili ndugu zanguni.
We kweli fala. Huyo dogo labda kapanda ungo na wachawi wenzenuSio kweli, nina mdogo wangu nimemsindikiza airpot saa mbili ameondoka na dreamliner
Mtumba kama drimulaina kuharibika ni jambo la kawaida sanaGari jipya au gari mtumba mkuu coz magar yote mnayinunua japan ni mtumba sasa mbona unaita jipya mkuu
Mtumba kuaribika ni kawaida sana
Hii Ndege imeanza service kwa ajili ya kuanza safari za nje tarehe 25, tatizo ni ATCL iliwafanyia uhuni abiria wake ikaendelea kupokea wateja wakeNdege ya Boeing 787-8 Dreamliner imeharibika kuanzia jana jioni baada ya kufika jijini Mwanza haikuweza kuendelea tena na safari mpaka sasa tatizo halijukani .Baadhi ya Abiria kutoka Arusha kuelekea Dar es Salaam tumeshindwa kuendelea na safari leo.
Abiria zaidi 106 tumekwama Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport {KIA} kuanzia saa tatu asubuhi baada ya kuambiwa ndege Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner ambayo tulikuwa tunagemea kusafiri nayo kuelekea Dar imepata itilafu ikiwa Mwanza jana .Abiria wengine wengine walihamishwa kwenye ndege aina Bombadier Q300 waliendelea safari. Wengine tumebaki uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport mpaka muda wa saa tatu ambayo tumeambiwa tutaenda kwa kutumia ndege ya kampuni ya Fasjet.
Kulikuwa na taarifa ndege nyingine Bombadier kuharibika mwenzi wa pili sasa ipo Mwanza
Inawezekana Rais hashauriki au hafikishiwi ushauri; Bombadia moja "imekufa" Mwanza, ATCL inajigamba kuleta Dreamliner - JamiiForums
========
Updates;
Saa 21.45 Abiria zaidi 78 tumehamishwa kwenye ndege Fasjet kuendelea na safari kuelekea Dar es Salaam.
Hilo jina lako kiboko. Naona dole huwa linakufikisha kileleniWewe ni mjinga niulize nikwambie ujinga wako
We jamaa unaweza kabisa kumrithi mzee Majuto kwenye comedy za bongo movies...Hii Ndege imeanza service kwa ajili ya kuanza safari za nje tarehe 25, tatizo ni ATCL iliwafanyia uhuni abiria wake ikaendelea kupokea wateja wake
Tuwe wazalendo na chupi sio? Au boxer?Kuweni wazalendo na vitu vyenu vya ndani
Sawa Mimi sio kama wewe unashabikia tu Mimi nikiona jambo nauliza wahusika na ndio majibu yaoWe jamaa unaweza kabisa kumrithi mzee Majuto kwenye comedy za bongo movies...
Naona Dogo anakuletea makuzi, siaangalie katika profile au ana sababu zake mpotezeeWe jamaa unaweza kabisa kumrithi mzee Majuto kwenye comedy za bongo movies...
Hakyanani....Marekani walimchagua mfanyabiashara awe rais wao sisi tukachagua mswaga ng'ombe awe rais... Kupanga ni kuchagua.
Acha bangi ....kama n laan ingeanza na ww kwanzaHahahahaha jindege tayari effect imeanza
Nchi hii ina laana kwa kupiga watu risasi na kununua watu
Kwa nini wasitoe official statement wakuambie wewe tu??Sawa Mimi sio kama wewe unashabikia tu Mimi nikiona jambo nauliza wahusika na ndio majibu yao