Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Habari za uhakika zinadokeza kuwa ndege ya ATCL namba TC 100 ambayo ilikuwa imeondoka Dar mapema asubuhi hii kuelekea Mwanza ikipitia KIA imepasuka kioo na hadi hivi sasa haijajulikana kama kilipasuka ndege ikiwa angani au baada ya kutua KIA. Kioo kilichopasuka ni kile cha pembeni kwa rubani upande wa kushoto kwa mujibu wa vyanzo vyangu JNIA.
Ndege hairuki sasa hivi hadi hali itengemae... kuna delay ya muda usiojulikana..
NB: NIlisema sitaki kugusa tena mambo ya ATCL lakini this one I couldn't pass to inform you.
Updated:
Kioo kilipasuka wakati wanajiandaa kuondoka KIA kwenda Mwanza...
Ndege inaonekana haiwezi kuondoka tena KIA leo; abiria wanatafutiwa usafiri mwingine.. (msiniulize wa chombo gani!)
Ndege hairuki sasa hivi hadi hali itengemae... kuna delay ya muda usiojulikana..
NB: NIlisema sitaki kugusa tena mambo ya ATCL lakini this one I couldn't pass to inform you.
Updated:
Kioo kilipasuka wakati wanajiandaa kuondoka KIA kwenda Mwanza...
Ndege inaonekana haiwezi kuondoka tena KIA leo; abiria wanatafutiwa usafiri mwingine.. (msiniulize wa chombo gani!)