Ndege ya asili... Made in Tanzania imeanguka usiku huu Sakina Arusha

Dili hilo....nasubiri Sangoma atakayejitokeza kudai kuwa yeye ndiye aliyeitungua ndege hiyo ili apate ulaji kwa wajinga wapendao mteremko .
 
mqt3.png
Aisee! mtu anauchuna na ujuzi wake huo mpaka anakufa nao.
Zingekuwa nchi za wenzetu tungekuwa na vyuo vya uundaji wa ndege hizo, urubani na mambo mengine kibao na hivyo kuliongezea taifa pato kwani tungeuza ujuzi na product kwa nchi zingine pia. Ni roho mbaya sana.
 
Aisee! mtu anauchuna na ujuzi wake huo mpaka anakufa nao.
Zingekuwa nchi za wenzetu tungekuwa na vyuo vya uundaji wa ndege hizo, urubani na mambo mengine kibao na hivyo kuliongezea taifa pato kwani tungeuza ujuzi na product kwa nchi zingine pia. Ni roho mbaya sana.

mkuu roho mbaya ni moja katika misingi yao ya kichawi so kamwe haitaweza kutumika ktk misingi ya maendeleo
 
!
!
badhani kuna haja ya kuwaunganisha watu wa aina hii na wataalamu wetu mbalimbali kama wa VETA na DIT ili tafiti zifanyike na utaalamu uhifadhiwe kwa matumizi ya vizazi vijavyo.........kupaa sio mchezo jamani ohoooooooooooooooo then uanguke na usiumie!jamaa katisha
 
Ndege zao hupata hitilafu kama ndege za kawaida tunazopanda hivyo kwao ni jambo la kawaida,kinachonishangaza zaidi mpaka leo ni inawezekanaje mtu kusafiri toka Msumbiji mpaka Arusha kwa haraka?Kwanini wasifanye usafiri huu kuwa wa kusaidia zaidi kuliko wanavyowanga?

.. uwezo huo wa kusafiri kutoka sehemu moja kwa ungo kwenda sehemu nyingine haupo! ila huu ni ujanja fulani wa kitapeli ambapo unalenga kumpa sifa mganga fulani wa eneo la tukio hilo kua yeye ndie aliedhibiti anga lake wachawi wasipite. kwa kawaida baada ya tukio kama hili muandaaji wa hiyo muvi huanza kupiga hela!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom