sema imeshindwa kupaa na wala haijadondoka..naona title iko so strong hapa.
Tusubiri tume kama kawa, na sijui huwa wanalipwaje wanaoteuliwa kwenye tume.
Sa unatakiwa uwe umeenda na kamera, hata picha za simu zitafaa tu, vinginevyo haina sababu ya kwenda!nipo eneo LA TUKIO NDEGE HAIFAI
skrepa inafaa
Source TBC1
Abiria wote wanusurika wakati ikipaa na imekadiriwa ni abiria 38
Hivi ndo hizi walizopisha bungeni zinunuliwe (mtumba) au ndo enzi za mwalimu
wakuu nimesikia toka radio ccm_uhurufm sasa hivi kuwa ndege ilishindwa kuruka na kuacha njia na kuserereka maporini. matairi yameng'oka na bawa moja pamoja na injini vimevunjika vby. mungu mkubwa watu wote wamepona. ilianza kuwaka moto lkn zimamoto wameudhibiti moto.