Ndege ya shirika la ATC iliyokuwa na abiria 35 imeanguka wakati ikiwa inapaa kutoka uwanja wa ndege Kigoma.Abiria wote wako salama.
Source : TBC - Habari Mpasuko saa 5:00 asbh
Nimewahi kuruka na hiyo ndege siku moja kutoka kigoma kwa kweli ilikua safari ngumu sana maana kwanza kuruka ilikua kasheshe sana....ikayumba mbayaa...sasa tatizo nchi hii ukisema ukweli ni shida..nchi ina ujinga mwingi sana..
Kulikuwa na debate kali sana kuhusu mipango ya kununua mitumba. Na Waziri Nundu akang'aka sana huku akitetea azma ya serikali ya kubadili sheria ili tununue mitumba. Ningetaka kujua kama hii ndege ni miongoni mwa mitumba ya serikali?
Tumenunua RADA kwa bei mbaya kwa ajiri ya kungalia ndege zetu mbovu zitakapoanguakia. lkn hata ndege zenyewe haziruki zinaaanguka viwanjani na macho yetu ya kawaida ndo yanaziona. Ha ha ha ha....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.