Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,289
- 92,376
Siyo magorofa, bali Mapimbi kama huyu mleta thread hii.Ama kweli ukiwa mwanasiasa unakuwa kama jalala. Watu watakuletea matatizo yao wakitaka utatuzi, wengine watakutukana, wengine watakupa ushauri wa kujinga, wote hao inabidi uwasikilize tu. Mhhhh, ama kweli, kua mwanangu uyaone.
Huyu inaonekana uti wa mgongo ungalimtosha hakupaswa hata kupewa Ubongo maana kazi ya Ubongo kwa binadamu ni uwe na akili na kufiri vizuri. huyu hana mbele wala nyumba. tupingeni kwa nguvu zote ndoa za jinsioa moja zisiruhusiwe hapa kwetu otherwise watu kama hawa ni lazima wataolewa tu maana kuishi kwa kujipendekeza mwisho ni 2015.