MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,381
- 4,648
Wenye akili wamenielewa twende hatua ya pili mkuuUnamaanisha nini, sijakuelewa pangilia kwanza maelezo yako vizuri ili ueleweke
Wenye akili wamenielewa twende hatua ya pili mkuuUnamaanisha nini, sijakuelewa pangilia kwanza maelezo yako vizuri ili ueleweke
Ok, majibu kama haya hutoka kwa walioshindwa kujenga hoja.Wenye akili wamenielewa twende hatua ya pili mkuu
Basi haya....Ok, majibu kama haya hutoka kwa walioshindwa kujenga hoja.
Mkishindwa hoja mnakimbilia kudharau dharau na kukejeli wengine.
Sasa kama ni hao hao Waamerika mbona wanawaua rafiki zao Waingereza,Wajerumani na Wafaransa?ISIS si ndio haohao Marekani
hiyo ni Russia insider ila wamequote habari karibu yote toka gazeti la israel ka haaretz..Duh.... So kwa Chumvi hizo hata Sputnik wana chumvi ila hiz kiboko.
hiyo ni Russia insider ila wamequote habari karibu yote toka gazeti la israel ka haaretz..Duh.... So kwa Chumvi hizo hata Sputnik wana chumvi ila hiz kiboko.
Hivi tangu lini Marekani akawa na rafiki wa kudumu.....??Sasa kama ni hao hao Waamerika mbona wanawaua rafiki zao Waingereza,Wajerumani na Wafaransa?
Hv kati ya Me na wewe nani ana mihemko?!, Half hyo Haaretz la lini coz Mara nyingi sana nalisoma.hiyo ni Russia insider ila wamequote habari karibu yote toka gazeti la israel ka haaretz..
Usidhani kila mtu ana muhemuko wa kishabiki kama wako,kuna magazeti hukohuko kwa jamaa zako wayahudi yanapinga vitendo vya israel kushambulia nchi za watu bila sababu za msingi
Vita kama ni peke yako as Israel na taifa la Syria ama Egypt huwezi kabisa kabisa bila ya back up from American no way..
Nauliza tena s200 na s300 na s700 kama ipo zimezimwa au mbovu....!?View attachment 486368
Unakumbuka jana nilikwambia kwamba haitochukua mda mrefu kwa Israel kushambulia tena Syria. Sasa hyo ni Leo kashambulia tena.
Elungata nankumene MTOTO WA KUKU
Yes da did mkuuKwan six day war US alipeleka wanajeshi Israel?!
kwa iyo mnataka s300 au s400 ifanyeje maana urusi yeye hana tatizo na israel,na israel hana tatizo na urusi.iyo mitambo ni kw ajili ya ulinzi wa base za urusi ndo maana israel ajaenda kushambulia kweny base za urusi,yeye alienda kuwapig hezbollahNauliza tena s200 na s300 na s700 kama ipo zimezimwa au mbovu....!?
Jamani syria si inalindwa na na mitambo kutoka Urusi....vipi kivuruge anapiga anavyotaka huko syria?n
kwa iyo mnataka s300 au s400 ifanyeje maana urusi yeye hana tatizo na israel,na israel hana tatizo na urusi.iyo mitambo ni kw ajili ya ulinzi wa base za urusi ndo maana israel ajaenda kushambulia kweny base za urusi,yeye alienda kuwapig hezbollah
Syria akiacha kutumika na Iran km chambo kupeleka silaha kwa Hezbollah bhas Israel hatokua na sababu ya kushambulia Syria ila as long as Syria anaendelea kupeleka au kuhifadh silaha za Hezbollah bhas israel ataendelea kuishambulia hata km wakinunua S500.ni kweli siraha nyingi zinadondokea kwenye mikono ya hezbollah alafu baadae israel inawapa lawama warusi
Sio kutishiwa tu hao imewauma zaidi watakua wamepoteza ndegeUlitegemea israel ikae kimya baada ya ndege zake kutishiwa usalama?!