Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
Waziri wa mambo ya nje ameonesha kusikitishwa na zaidi ya hapo kukasirishwa na kitendo kinachofanywa na Canada kila ndege ya Tanzania inapotaka kutoka hapo.
Kwa maneno yake...."siyo Canada peke yao ndiyo wanaotengeneza ndege".
Natamani tufukue hili kaburi tujaribu kuona kulikoni Canada?
Kwa maneno yake...."siyo Canada peke yao ndiyo wanaotengeneza ndege".
Natamani tufukue hili kaburi tujaribu kuona kulikoni Canada?