Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Sitaki kusema sana
naamini wa precison mnajua hii ndege iliko na inafanya nini??
Je mpaka mnaleta ndege inakaa tanzania wiki mnapeleka nairobi kwa matengenezo
hamuoni kuna mushkeli na baadhi ya member wa management kuwajibika??mmekuwa airbus ya atcl jamani
mbona watuaibisha??na kilichofanya ndege kubwa iliobaki paz kuacha nairobi rte sababu zakiusalama ni nini??
Embu tujuzeni
naamini wa precison mnajua hii ndege iliko na inafanya nini??
Je mpaka mnaleta ndege inakaa tanzania wiki mnapeleka nairobi kwa matengenezo
hamuoni kuna mushkeli na baadhi ya member wa management kuwajibika??mmekuwa airbus ya atcl jamani
mbona watuaibisha??na kilichofanya ndege kubwa iliobaki paz kuacha nairobi rte sababu zakiusalama ni nini??
Embu tujuzeni