Ndege mpya au stahili za wafanyakazi?

Sooth

JF-Expert Member
Apr 27, 2009
3,928
5,615
Tarehe 19 September 2019 serikali imeingia mkataba wa kununua ndege 2 zaidi aina ya Airbus A220-300 ambazo gharama yake haipungui 91.5milion kwa kila moja, jumla million 183usd. Hizi ni zaidi ya billion 360 za kitanzania.

Kwakuwa tuna raslimali pesa chache, je hiki ndo kilipaswa kuwa kipaumbele cha serikali yetu kwa sasa?

Mpaka sasa tuna ndege saba. Tunahitaji na hizi mbili zingine? Hizi saba zimechangia kiasi gan kwenye uchumi wetu?

Toka rais kaingia madarakan, hajawahi kuongeza mshahara hata mara moja. Ametoa annual increment mara moja tu wakat sheria inaitaka serikali itoe kila mwaka..

Kwa maoni yangu, kuna tija zaidi kiuchumi kumlipa mfanyakazi stahili zake kuliko kununua ndege. Unaponunua ndege unachukua pesa ya ndan unampelekea mzungu. Ukilipa wafanyakazi wako hela inasambaa kwa kila mwananchi na kusisimua uchumi.

Mheshimiwa rais, kama huwezi kuwaboreshea maslahi wafanyakaz, basi angalau wapandishe madaraja na kuwapa mishahara mipya waliojiendeleza kimasomo. Kujiendeleza kimasomo kunalazimu mambo mengi yasimame kifamilia na kiuchumi. Wape stahili zao.
 
Tarehe 19 September 2019 serikali imeingia mkataba wa kununua ndege 2 zaidi aina ya Airbus A220-300 ambazo gharama yake haipungui 91.5milion kwa kila moja, jumla million 183usd. Hizi ni zaidi ya billion 360 za kitanzania.

Kwakuwa tuna raslimali pesa chache, je hiki ndo kilipaswa kuwa kipaumbele cha serikali yetu kwa sasa?

Mpaka sasa tuna ndege saba. Tunahitaji na hizi mbili zingine? Hizi saba zimechangia kiasi gan kwenye uchumi wetu?

Toka rais kaingia madarakan, hajawahi kuongeza mshahara hata mara moja. Ametoa annual increment mara moja tu wakat sheria inaitaka serikali itoe kila mwaka..

Kwa maoni yangu, kuna tija zaidi kiuchumi kumlipa mfanyakazi stahili zake kuliko kununua ndege. Unaponunua ndege unachukua pesa ya ndan unampelekea mzungu. Ukilipa wafanyakazi wako hela inasambaa kwa kila mwananchi na kusisimua uchumi.

Mheshimiwa rais, kama huwezi kuwaboreshea maslahi wafanyakaz, basi angalau wapandishe madaraja na kuwapa mishahara mipya waliojiendeleza kimasomo. Kujiendeleza kimasomo kunalazimu mambo mengi yasimame kifamilia na kiuchumi. Wape stahili zao.
Hivi nyie wafanyakazi madai yenu ya kudai mishahara au kupandishwa madaraja mkimshurutisha mwajiri mnaona mnachangia kikubwa kiasi gani mpaka mdai malipo zaidi ya kile kulicholo kwenye mkataba? Mnalipwa mnachostahil tens anawalipa zaidi mgetakiwa mpunguziwe! Kama unajiona umesoma na una maharifa basi kajiajili ndo utaona hata hicho anachokulipa amekupendelea
 
Hivi nyie wafanyakazi madai yenu ya kudai mishahara au kupandishwa madaraja mkimshurutisha mwajiri mnaona mnachangia kikubwa kiasi gani mpaka mdai malipo zaidi ya kile kulicholo kwenye mkataba? Mnalipwa mnachostahil tens anawalipa zaidi mgetakiwa mpunguziwe! Kama unajiona umesoma na una maharifa basi kajiajili ndo utaona hata hicho anachokulipa amekupendelea
Bila wafanyakazi hata hiyo tecno unayotumia usingekuwa nayo!
 
jifunze kuunda herufi kwanza (r na l)
Hivi nyie wafanyakazi madai yenu ya kudai mishahara au kupandishwa madaraja mkimshurutisha mwajiri mnaona mnachangia kikubwa kiasi gani mpaka mdai malipo zaidi ya kile kulicholo kwenye mkataba? Mnalipwa mnachostahil tens anawalipa zaidi mgetakiwa mpunguziwe! Kama unajiona umesoma na una maharifa basi kajiajili ndo utaona hata hicho anachokulipa amekupendelea
 
Hivi nyie wafanyakazi madai yenu ya kudai mishahara au kupandishwa madaraja mkimshurutisha mwajiri mnaona mnachangia kikubwa kiasi gani mpaka mdai malipo zaidi ya kile kulicholo kwenye mkataba? Mnalipwa mnachostahil tens anawalipa zaidi mgetakiwa mpunguziwe! Kama unajiona umesoma na una maharifa basi kajiajili ndo utaona hata hicho anachokulipa amekupendelea
Wakati wa biashara ya utumwa, mzungu mmoja mwenye gobole alikuwa anatoka na watumwa Kigoma, anapita nao Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro, Pwani na kwenda kutumikishwa Ulaya, America na Asia. Humo njiani kulikuwa na wanyamwezi, wagogo, wazaramo na machifu wao ambao waliona ni sawa tu kwa ndugu zao kuuzwa kama pipi. Tena wengine walishirikiana na wazungu kuuza wenzao.

Hali hiyo haijabadilika mpaka leo. Ngozi nyeusi ni haibadiliki, haijifunzi. Wewe mfanyabiashara unajiona keki sana kuliko mfanyakazi, bila kujua ktk jamii kuna kutegemeana. Nisipopata stahili zangu, watoto wangu hawatakufa njaa maana watakuja kuiba kwako na kuweza kujilisha.
 
Hivi nyie wafanyakazi madai yenu ya kudai mishahara au kupandishwa madaraja mkimshurutisha mwajiri mnaona mnachangia kikubwa kiasi gani mpaka mdai malipo zaidi ya kile kulicholo kwenye mkataba? Mnalipwa mnachostahil tens anawalipa zaidi mgetakiwa mpunguziwe! Kama unajiona umesoma na una maharifa basi kajiajili ndo utaona hata hicho anachokulipa amekupendelea
Wapumbavuuu sana hao wafanyakazi ndiyo wafanya kazi uchwara
 
Hivi nyie wafanyakazi madai yenu ya kudai mishahara au kupandishwa madaraja mkimshurutisha mwajiri mnaona mnachangia kikubwa kiasi gani mpaka mdai malipo zaidi ya kile kulicholo kwenye mkataba? Mnalipwa mnachostahil tens anawalipa zaidi mgetakiwa mpunguziwe! Kama unajiona umesoma na una maharifa basi kajiajili ndo utaona hata hicho anachokulipa amekupendelea
Daktari akiacha kazi akaenda kujiajiri na kuanza kuuza nyanya kama wewe, nani atamtibu mkeo/mumeo akiugua? Watu weusi tunakwama wapi? Mbona hizi akili zinaona leo tu, kesho hazioni?
 
Hivi nyie wafanyakazi madai yenu ya kudai mishahara au kupandishwa madaraja mkimshurutisha mwajiri mnaona mnachangia kikubwa kiasi gani mpaka mdai malipo zaidi ya kile kulicholo kwenye mkataba? Mnalipwa mnachostahil tens anawalipa zaidi mgetakiwa mpunguziwe! Kama unajiona umesoma na una maharifa basi kajiajili ndo utaona hata hicho anachokulipa amekupendelea
Unajielewa kweli!
 
Wafanyakazi wanajionaga soo special kwelii hamjui hiyo cake siyo yenu pekee kwanza jamaa kawafungia vioo kaona hata kwenye sanduku la kura hamna impact kwa uchache wenu lalamikeni wee acheni kazi na uone watu watakavyofurika kuapply kwa huo huo mshahara
 
Wafanyakazi wanajionaga soo special kwelii hamjui hiyo cake siyo yenu pekee kwanza jamaa kawafungia vioo kaona hata kwenye sanduku la kura hamna impact kwa uchache wenu lalamikeni wee acheni kazi na uone watu watakavyofurika kuapply kwa huo huo mshahara
Kwa hiyo wasidai haki yao mkuu!
 
Kwa nini ajenge kwake?
Waliomtangulia wangefanya upuuzi huu tusingekuwa hapa ba u Rais angeusikia redioni
Kwa wanasiasa uchwara wa kizazi hiki, hilo haliepukiki. Halina tofauti sana na bandari ya Bagamoyo. Kwamba yeye anapendelea kwao haina mjadala, ndo maana inatupasa na sisi wafanyakazi kujipendelea kwa kudai stahili zetu bila kujali kuna stigla au ndege za ATCL.
 
Wafanyakazi wanajionaga soo special kwelii hamjui hiyo cake siyo yenu pekee kwanza jamaa kawafungia vioo kaona hata kwenye sanduku la kura hamna impact kwa uchache wenu lalamikeni wee acheni kazi na uone watu watakavyofurika kuapply kwa huo huo mshahara
Kwan mfanyakazi akipata chake anakupunguzia nn wewe mfanyabiashara? Wafanyabiashara wengi wanaolipa kodi zao vizuri wanajua umuhimu wa wafanyakazi, wajasiliamali wanaouza sabuni za unga na miche ndo wanadharau sana kwa wafanyakazi sababu motivational speakers wamewaambia kufanya kazi sio dili.
 
Back
Top Bottom