Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Ndege lazima inunuliwe hata mkila nyasi
Hakuna barabara itakayofungwa!Mtatufungia barabara kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
(In mramba voice)Ndege lazima inunuliwe hata mkila nyasi
Hakika, maana hadi sasa chadema wako hoi tabaniMagufuli baba utamaliza marinda yote ya chadema
Jema lisilo na faida na sawa na baya lisilodhuru.Magifuli kiboko kwa vitu vinavyobana matumizi yasiyo na tija.
Hongera sana kwako JPM mkuu wa nchi
HahahahNipo hapa nasuburi macho yangu yatoke kwenda angani
ndege yako na nani?Ila jamani tupo vizuri, tuache roho za kwanini wakati ndege ni yetu.