Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,831
- 1,296
Natamani kujua kwenu wataalamu ni ndege ya ukubwa gani i.e inayobeba abiria wangapi ya kiraia inayoweza kutua Nduli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nduli ni iringa international airportNduli ndio wapi?
Nduli ndio wapi?
Unataka kuwekeza kwenye usafiri wa anga?Kabla hujafikiria ukubwa wa ndege jiulize ni "wagaya sida" wangapi watapanda hiyo ndege.
ya rais ndo kubwa kutua nduli.Natamani kujua kwenu wataalamu ni ndege ya ukubwa gani i.e inayobeba abiria wangapi ya kiraia inayoweza kutua Nduli?
ya rais ndo kubwa kutua nduli.
kama 50 hiviina uwezo wa kubeba abiria wangapi?
kama 50 hivi
nilibahatika kupita hapo Nduli sometimes back ( long time in 80's) . Nina uhakika wa wa carravan
c-208 ya abiria 13.
sina uhakika na ndege ya serekari fokker 50 inayochukua takriban 50. kwa uhakika ndege ya Raisi haiwezi kutua nduli. nadhani nimekusaidia...All in all let me check the manuals.
Natamani kujua kwenu wataalamu ni ndege ya ukubwa gani i.e inayobeba abiria wangapi ya kiraia inayoweza kutua Nduli?
Asante! NIlikuwa naanagalia kuwa direct flights za from Dar na KIA kuferry watalii wakati wa msimu
Nadhani 50 ni reasonable.
Kuna picha hapa JF zikiionyesha hii ndege imetua uwanja wa nduli..........labda changamoto waliyonayo ni gari la kuzimia moto! Asante nasubiri uchunguzi wako.
Uganda.Nduli ndio wapi?