Kapepa Maswanya
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 265
- 106
Wakuu Niko hapa vwawa mbozi nimeona ndege zaidi ya ushirini zikikatiza anga hili wenye taarifa tunaomba watujuze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vintage air rally mkuu. Ni marubani wanaorusha ndege za zamani wana-cross bara la Afrika. Wanaelekea Zambia, Zimbabwe, Botswana na mwisho Afrika Kusini. Kijivu kilichokolea kwenye ramani ndio nchi walizopita na kutua kujaza mafuta na kupumzika. Unaweza kusoma zaidi hapa VintageAirRally - HomeWakuu Niko hapa vwawa mbozi nimeona ndege zaidi ya ushirini zikikatiza anga hili wenye taarifa tunaomba watujuze.
Ipo mkuu ilijengwa na wachina na imezinduliwa juzi na waziri wa afya wa Botswana Malawi nchi ya Kimakonde.Mbeya kuna Barabara ya ndege
Mkuu karuhusu ifanyike mana nlikua nangojea tamko ..tisa disemba
Sawa mkuu nimekupata sana sanaNi vintage air rally mkuu. Ni marubani wanaorusha ndege za zamani wana-cross bara la Afrika. Wanaelekea Zambia, Zimbabwe, Botswana na mwisho Afrika Kusini. Kijivu kilichokolea kwenye ramani ndio nchi walizopita na kutua kujaza mafuta na kupumzika. Unaweza kusoma zaidi hapa VintageAirRally - Home
si bado siku anweza sema pesa zipelekwe kageraMkuu karuhusu ifanyike mana nlikua nangojea tamko ..
Twanga kafoto kidogo kwa imani yetu basi.Wakuu Niko hapa vwawa mbozi nimeona ndege zaidi ya ushirini zikikatiza anga hili wenye taarifa tunaomba watujuze.
Thanks kwa ufafanuziNi vintage air rally mkuu. Ni marubani wanaorusha ndege za zamani wana-cross bara la Afrika. Wanaelekea Zambia, Zimbabwe, Botswana na mwisho Afrika Kusini. Kijivu kilichokolea kwenye ramani ndio nchi walizopita na kutua kujaza mafuta na kupumzika. Unaweza kusoma zaidi hapa VintageAirRally - Home
Mwanangu home huko niliondoka kitambo kula bata msumbiji leo jmos mnada vipi hapo vwawa bado upo? Naomba nichukulie namba ya chaula unipeWakuu Niko hapa vwawa mbozi nimeona ndege zaidi ya ushirini zikikatiza anga hili wenye taarifa tunaomba watujuze.
SERIKALI hii inajitahidi kuwaletea wana mbozi mambo makubwa makubwaMaandalizi ya kupatwa kwa jua